Kama unataka kujifunza zaidi njia ya Mkristo wa kweli anavyopaswa kuishi, basi ni lazima ujifunze Biblia. Ili kukusaidia; Ecclesia la Christadelphian Bible Mission limechapisha kijitabu kuhusu mafunzo ya Biblia katika somo hili muhimu.


Kina itwa Kuishi katika Kweli. Unaweza kupata nakala kutoka Ecclesia la Christadelphian, au kutoka anuani iliyoandikwa katika kijitabu hiki.




CBM Publishing

32 Blenheim Road, Far Cotton

Northampton, England. NN4 8NW




ISBN 1 902059 31 - X

Registered Charity Number: 248979 / 1020558

SLP 14587, Arusha, Tanzania, Afrika

Company Number: 2796412

Telephone +44 (0) 1604 765068

SM +44(0) 772 407 2906

Email: cbmtanzania@yahoo.co.uk

Web: http:\\www.cbm-tz.org





_____________________


Marekebisho ya Maelezo ya Birmingham Juu ya Imani

Birmingham Amended Statement of Faith

_____________________


















Mfasiri: Jonathan Nkombe

Mwandikaji: Carl Hinton


























Masomo ya Nyongeza:


1 902059 00 - X Matayarisho ya Ubatizo

1 902059 01 - 8 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 1-4

1 902059 02 - 6 Ukimwi

1 902059 03 - 4 Mshitaki Wenu Ibilisi

1 902059 04 - 2 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 5-8

1 902059 05 - 0 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 9-11

1 902059 06 - 9 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 12-15

1 902059 07 - 7 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 16-19

1 902059 08 - 5 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 20-23

1 902059 09 - 3 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 24-27

1 902059 10 - 7 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 28-31

1 902059 11 - 5 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 32-36

1 902059 12 - 3 Masomo ya Biblia kwa njia ya posta ya Wakristadelphian 37-40

1 902059 13 - 1 Ufunuo Mlango wa Kwanza

1 902059 14 - X Ni kweli Yesu Kristo alishuka kutoka mbinguni?

1 902059 15 – 8 Nyimbo za ndugu wa Kristo

1 902059 16 – 6 Ufunuo Mlango wa Pili

1 902059 17 – 4 Katiba ya Makanisa

1 902059 18 – 2 kitabu-mwalimu wa kristadelfiani

1 902059 19 – 0 Kuanzisha Kristadelfiano (CBM) Eklesia

1 902059 20 – 4 Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia sura moja

1 902059 21 – 2 Ni kwa sababu gani Mungu anaruhusu mateso?

1 902059 22 – 0 Ufufu Kwa Hukumu

1 902059 23 – 9 Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia sura mbili

1 902059 24 – 7 Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia sura tatu

1 902059 25 – 5 Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia sura nne

1 902059 26 – 3 Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia sura tano

1 902059 27 – 1 Waraka wa mtume Paulo kwa Wagalatia sura sita

1 902059 28 – X Fungu Lako Katika Ahadi za Mungu

1 902059 29 – 8 Kuishi Katika Ile Kweli

1 902059 30 – 1 Malaika: Wajumbe Wa Mungu

1 902059 31 –X Marekebisho ya Maelezo ya Birmingham Juu ya Imani






















Robert Roberts

(April 18, 1839September 23, 1898)







(48)

Marekebisho ya Maelezo ya Birmingham Juu ya Imani

MSINGI –Kitabu kinachojulika kwa jina Biblia,ambacho kina maandiko ya Musa,Manabii na Mitume ndicho chanzo pekee cha maarifa ya kumjua Mungu na kusudi lake kwa upana wa kuwepo kwake au kuwepo kwake katika dunia,na kwamba yote ni uvuvio wa Mungu kwa waandishi na yakaandikwa pasipo makosa katika maandishi hayo isipokuwa makosa yaliyofanyika katika kunakiri au katika kutafsiri.

2Timotheo 3:16, 1 Wakorintho 2:13, Waebrania 1:1, 2 Petro 1:21, 1 Wakorintho 14:37, Nehemiah 9:30, Yohana10:35.

Ukweli unaopaswa kuaminiwa

1.Na kwamba Mungu wa peke na wa kweli ndiye aliyejifunua kwa Abrahimu,Isaka na Yakobo kwa njia ya malaika waliowafikia kwa njia ya maono,na kwa Musa aliyeona kichaka kikiungua(pasipo kichaka kuteketea) na pia hata pale Sinai,na pia alijidhihirisha yeye mwenyewe ndani ya Bwana Yesu Kristo, akiwa ndiye aliye Mkuu ailiyehai, BABA MMOJA, yeye anayekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa na mtu yeyote,akiwa yuko mahali popote,akiwa yupo kila mahali kwa njia ya roho wake ambaye ni mmoja ,ndiye mwumbaji wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo ndani yake.

Isaya 40:13-25, Isaya 43:10-12, Isaya 44:6-8, Isaya 45:5, Isaya 46:9-10, Ayubu 38:1-41, Ayubu 39:1-30, Ayubu 40:1-24, Kumbukumbu la torati 6:1-4, Marko 12:29-32, 1 Wakorintho 8:4-6, Waefeso 4:6, 1 Timotheo 2:5, Nehemia 9:6, Ayubu 26:13, Zaburi 124:8, Zaburi 146:6, Zaburi 148:5, Isaya 40:25-27, Yeremia 10:12-13, Yeremia 27:5, Yeremia 32:17-25, Yeremia 51:15, Matendo ya Mitume 14:15, Matendo ya Mitume 17:24, 1 Mambo ya Nyakati 29:11-14, Zaburi 62:11, Zaburi 145:3, Isaya 26:4, Isaya 40:26, Ayubu 9:4, Ayubu 36:5, Zaburi 92:5, Zaburi 104:24, Zaburi 147:4-5, Isaya 28:29, Warumi 16:27, 1 Timotheo 1:17, 2 Mambo ya Nyakati 16:9, Ayubu 28:24, Job 34:21, Zaburi 33:13-14, Zaburi 44:21, Zaburi 94:9, Zaburi 139:7-12, Mithali 15:3, Yeremia 23:24, Yeremia 32:19, Amosi 9:2-3, Acts 17:27-28, Zaburi 123:1, 1 Wafalme 8:30-39, 1 Wafalme 8:43, 1 Wafalme 8:49, Mathayo 6:9, 1 Timotheo 6:15-16, 1 Timotheo 1:17.

2. Na kwamba Yesu wa Nazareti ni Mwana wa Mungu, aliyezaliwa na bikira Maria bila kumjua mume bali kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, na hatimaye wakati wa ubatizo wake akapewa roho huyu pasipo kipimo.

Mathayo 1:23, 1 Timotheo 3:16, Matendo ya Mitume 2:22-24, Matendo ya Mitume 2:36, Mathayo 1:18-25, Wagalatia 4:4, Isaya 7:14, Mathayo 3:16-17, Isaya 11:2, Isaya 42:1, Isaya 61:1, Yohana 3:34, Yohana 7:16, Yohana 8:26-28, Yohana 14:10-24.

3. Kwamba kuja kwa Yesu wa Nazareti ilikuwa ni mhimu kuwa katika hali ya umbo la mwili sawasawa na hali ile ile ya umbile la wanadamu walilonayo kutoka kwa mtu wa kwanza

1 Wakorintho 15:21-22, Warumi 5:12-19, Mwanzo 3:19, 2 Wakorintho 5:19-21.





(1)

4. Mtu wa kwanza alikuwa Adamu,ambaye aliumbwa na Mungu kutokana na udongo, na kuwa kiumbe hai, au mwili wa asili wenye uhai,aliyeumbwa katika wema na ukamilifu,na akamweka chini ya sheria ambapo uzima wake ulitegemea utii wake.

Mwanzo 2:7, Mwanzo 18:27, Ayubu 4:19, Ayubu 33:6, 1 Wakorintho 15:46-49, Mwanzo 2:17

5. Na kwamba Adamu alivunja amri hii na akawa hastahili kuishi milele, na aka hukumiwa kurudi mavumbini ambamo alitolewa-hukumu iliyompata na ikaendelea kwa uzao wake wote.

Mwanzo 3:15-19, Mwanzo 22:1-24, Mwanzo 23:1-20, 2 Wakorintho 1:9, Warumi 7:24, 2 Wakorintho 5:2-4, Warumi 7:18-23, Wagalatia 5:16-17, Warumi 6:12, Warumi 7:21, Yohana 3:6, Warumi 5:12, 1 Wakorintho 15:22, Zaburi 51:5, Ayubu 14:4.

6. Kwamba Mungu, kwa wema wake, alikuwa na mpango wa urejesho, bila kuiacha haki yake na umhimu wa sheria ya dhambi na kifo, ili awaokoe wanadamu watoke katika uharibifu, na dunia kuwa na watu wasio na dhambi yaani wenye uzima wa milele.

Ufunuo 21:4, Yohana 3:16, 2 Timotheo 1:10, 1Yohan 2:25, 2 Timotheo 1:1, Tito 1:2, Warumi 3:26, Yohana 1:29

7. Kwamba alitimiza mpango huu kwa kufanya ahadi na Adamu, Ibrahimu, Daudi na baadaye akafafanua kwa kina zaidi kwa Manabii

Mwanzo 3:15, Mwanzo 22:18, Zaburi 89:34-37, Zaburi 33:5, Hosea 13:14, Isaya 25:7-9, Isaya 51:1-8, Yeremia 23:5.

8. Kwamba ahadi hizi zilimhusu Yesu Kristo,ambaye angezaliwa kutoka katika ukoo wa Ibrahimu na Daudi, na ambaye angekuwa na mwili wa uharibifu, ambaye ilimpasa kupata cheo kikubwa sana baada ya ufufuo kutokana na utii mkamilifu, na kwa njia kufa kwake, akaiharibu sheria ya kifo ndani yake mwenyewe, na kwa wale watakaomwamini yeye.

1 Wakorintho 15:45, Waebrania 2:14-16, Warumi 1:3, Waebrania 5:8-9, Waebrania 1:9, Warumi 5:19-21, Wagalatia 4:4-5, Warumi 8:3-4, Waebrania 2:15, Waebrania 9:26, Wagalatia 1:4, Waebrania 7:27, Waebrania 5:3-7, Waebrania 2:17, Warumi 6:10, Warumi 6:9, Matendo ya Mitume 13:34-37, Ufunuo 1:18, Yohana 5:21-22, Yohana 5:26-27, Yohana 14:3, Ufunuo 2:7, Ufunuo 3:21, Mathayo 25:21, Waebrania 5:9, Marko 16:16, Matendo ya Mitume 13:38-39, Warumi 3:22, Zaburi 2:6-9, Danieli 7:13-14, Ufunuo 11:15, Yeremia 23:5, Zakaria 14:9, Ufunuo 1:9-10.

9. Kwamba ulikuwa ni mpango huu uliosababisha Yesu azaliwe kwa njia ya mwujiza na mwanamke, ukimwezesha kuibeba hukumu yetu, na kwa wakati huo huo,akawa asiye na dhambi, na kwa hiyo akafufuka baada ya mateso hadi kifo ambacho kilitakiwa ili kuitimiza haki ya Mungu.

Mathayo 1:18-25, Luka 1:26-35, Isaya 7:14, Warumi1:3-4, Warumi 8:3, Wagalatia 4:4, 2 Wakorintho 5:21, Waebrania 2:14-17, Waebrania 4:15.



(2)

kwa kadiriya matendo yake. Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yasni hilo ziwa la moto. Naiwapo mtu yeyote hakuonekana ameandikwa kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.


Isaiah 25:6-8. Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono,karamu ya divai iliyokaa juu yaurojorojo wake;karamu ya vinono vilivyojaa mafuta,karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake,iliyochujwa sana.Naye katika mlima huu utauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote,na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote. Amemeza mauti hata milele; na BWANA MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote;na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote;maana BWANA amenena hayo.


Ufunuo 20:11-15. Kisha nikaona kiti chaenzi, kikuba, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso,na mahali pao hapakuonekana.Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;na vitabu vikafunguliwa;na kitabu kingine kikafunguliwa,ambacho ni cha uzima;na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu ,sawasawa na matendo yao.Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake.Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiriya matendo yake. Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili,yaani hilo ziwa la moto. Na iwapo mtu yeyote hakuonekana ameandikwa kitabu cha uzima,alitupwa katika lile ziwa la moto.


1 Wakorintho 15:24. Hapo ndipo mwisho, atakapo mpa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.


1 Wakorintho 15:28. Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atkapotiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili Mungu awe yote katika wote.



















(47)

Isaya 42:4 Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani, na visiwa vitaingojea sheria yake


Isaya 11:1-10 Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese,na tawi litakalotoka katika mizizi yake lit.azaa matunda.Na roho ya BWANA atakaa juu yake,roho ya hekima na ufahamu,roho ya ushauri na uweza,na roho ya maarifa na kumcha BWANA;wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake,wala hataonya kwa kuyasikia ayasikiayo kwa masikio yake;bali kwa haki atawaahukumu masikini,naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili;naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake,na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya.Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake,na uaminifu mshipiwa kujifungia.Mbwa mwita atakaa pamoja na mwana-kondoo,na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi;ndama na mwana-simba na kinono watakuwa pamoja,na mtoto mdogo atawaongoza.Ng'ombe na dubu watalisha pamoja;watoto wao watalala pamoja;na simba atakula majani kama ngo'ombe.Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka,na mtoto aliyechshwa kunyonya atatia mkono wake katika tundu la fira.Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu;maana dunia itajawa na kumjua BWANA,kama vile maji yanavyoifunika bahari. Na itakuwa katika siku hiyo,shina la Yese,lisimamalo kuwa ishara kwa kabila za watu,yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta;na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.Na itakuwa katika siku hiyo,Bwana atapeleka mkono wake mara ya pili,ili ajipatie watu wake watakaosalia,kutoka Ashuru,na kutok Misri,na kutoka Pathrosi,na kutoka Kushi,na kutoka Elamu,na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na kutoka visiwa vya bahari.


Isayah 2:4. Naye atafnya hukumu katika mataifa mengi,atawakemea watu wa kabila nyingi;nao watafua panga zao ziwe majembe,na mikuki yao iwe miundu;taifa halitainua upanga juuya taifa lingine;wala hawatajifunza vita tena kamwe.


Habakuki 2:14. Kwa maana dunia itajazwa marifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.


1 Wakorintho 15:24-28. Hapo ndipo mwisho, atakapo mpa Mungu Baba ufalme wake;atakapobatilisha utawala wote,na mamlaka yote,na nguvu.Maana sharti amiliki yeye,hata awaweke maadui zake chini ya miguu yake.Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.Lakini atakaposema,vyote vimetiishwa,ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo. Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atkapotiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote,ili Mungu awe yote katika wote.


Ufunuo 21:4. Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwepo tena; wala maombolezo,ala kilio,wala maumivu hayatakuwapo tena,kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo 20:12-15. Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;na vitabuvikafunguliwa;na kitabu kingine kikfunguliwa,ambacho ni cha uzima;na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu ,sawasawa na matendo yao.Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake.Wakahukumiwa kila mtu

(46)

10. Yesu kwa kuwa Mwana wa Mungu na kwa kuwa Mungu alikuwa ndani yake kwa jinsi alivyomjaza roho mtakatifu, Yesu akawa ni Imanueli, Mungu pamoja nasi, Mungu alidhihirishwa katika mwili-hata hivyo, katika maisha wakati wa uhai yake, akiwa amezaliwa na mwanamke, wa nyumba na ukoo wa Daudi, na hivyo akateswa katika siku hizo za uhai wake, kutokana na matokeo yaliyosababishwa na dhambi ya Adamu, akashiriki mwili wa asili kama wetu na hata akafa kifo ambacho kinawapata watu wote.

Mathayo 1:23, 1Timotheo 3:16, Waebrania 2:14, Wagalatia 4:4, Waebrania 2:17.

11. Kwamba ujumbe aliowaambia ndugu zake Wayahudi aliupata kwa Mungu, ulikuwa ni ujumbe ambao ni wito wa kutubu na kuacha matendo maovu, na akathibitisha kuwa ni Mwana wa Mungu na kuwa ni mfalme wa Wayahudi,akahubiri habari njema kuwa kwa kupitia yeye Mungu atawarudishia ufalme,na akayatimiza yote yaliyoandika na manabii.

Marko 1:15, Mathayo 4:17, Mathayo 5:20-48, Yohana 10:36, Yohana 9:35, Yohana 11:27, Yohana 19:21, Yohana 1:49, Mathayo 27:11-43, Yohana 10:24-25, Mathayo 19:28, Mathayo 21:42-43, Mathayo 23:38-39, Luka 4:43, Luka 13:27-30, Luka 19:11-27, Luka 22:28-30, Mathayo 5:17, Luka 24:44.

12. Kwamba kwa kuhubiri ujumbe huu wa injili, Wayahudi na Warumi walimwua, ambao na wao walitumika kama vifaa katika mikono ya Mungu, kwa kufanya hivyo walikuwa wakitimiza yale ambayo Mungu alikuwa ameyakusudia tangu zamani-yaani akaihukumu dhambi katika mwili, kwa njia ya dhabihu ya mwili wa Yesu mara moja kwa ajili ya wote, kuwa upatanisho na kutangaza haki ya Mungu, na kuwa msingi wa ondoleo la dhambi.

Na kwa njia ya kifo chake,lakini akafufuka na kuwa watu wote ambao ni uzao wa Adamu,wamwendee Mungu ili wapate msamaha wa dhambi. Kwa hiyo kielelezo chake, ni damu yake inayo tusafisha na kutuondolea dhambi zote.

Luka 9:47, Luka 20:1-26, Yohana 11:45-53, Matendo ya Mitume 10:38-39, Matendo ya Mitume 13:26-29, Matendo ya Mitume 4:27-28, Warumi 8:3, Waebrania 10:10, Warumi 3:25, Acts 13:38, 1Yohana 1:7, Yohana 14:6, Matendo ya Mitume 4:12, 1 Petro 3:18, 1 Petro 2:24, Waebrania 9:14, Waebrania 7:27, Waebrania 9:26-28, Wagalatia 1:4, Warumi 3:25, Warumi 15:8, Wagalatia 3:21-22, Wagalatia 2:21, Wagalatia 4:4-5, Waebrania 9:15, Luka 22:20, Luka 24:26, Luka 24:46-47, Mathayo 26:28.

13. Na Mungu akamfufua siku ya tatu kutoka katika wafu, na amemtukuza mbinguni kuwa kuhani mkuu, mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu, katika kuwakusanya watu pamoja ambao wataokolewa kwa kuamini na kuitii Kweli.

1 Wakorintho 15:4, Matendo ya Mitume 10:40, Matendo ya Mitume 13:30-37, Matendo ya Mitume 2:24-27, Matendo ya Mitume 4:27.

14. Yesu ni kuhani juu ya nyumba yake mwenyewe, si mwombezi wa ulimwengu au wa maprofesa waliokataa kutii. Yeye ni mwombezi wa ndugu zake wenye dhambi, wanapokiri na kutubu dhambi zao.



(3)

Luka 24:51, Waefeso 1:20, Matendo ya Mitume 5:31, 1Timotheo 2:5, Waebrania 8:1, Matendo ya Mitume 15:14, Matendo ya Mitume 13:39, Waebrania 4:14-15, Yohana 17:9, Waebrania 10:26, 1 Yohana 2:1, Mithali 28:13.

15. Na aliwatuma mitume kuhubiri wokovu unaopatikana katika yeye, maana ndilo Jina pekee chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo.

Matendo ya Mitume 1:8, Mathayo 28:19-20, Luka 24:46-48, Matendo ya Mitume 26:16-18, Matendo ya Mitume 4:12.

16. Na kwa kuamini Injili waliyoihubiri ndiyo njia pekee ya kupata wokovu huu,na kuliamini Jina lake na kazi aliyoifanya Kristo, na kwa kuzamishwa majini,na kuendelea kwa uvumilivu kuyatenda mambo yote Kristo aliyoagiza,hapana anaowatambua Yesu kuwa ni rafiki zake, isipokuwa ni wale wanaotenda yale aliyoagiza.

Matendo ya Mitume 13:48, Matendo ya Mitume 16:31, Marko 16:16, Warumi 1:6, Matendo ya Mitume 2:38, Matendo ya Mitume 2:41, Matendo ya Mitume 10:47, Matendo ya Mitume 8:12, Wagalatia 3:27-29, Warumi 6:3-5, Warumi 2:7, Mathayo 28:20, Yohana 15:14

17. Na kwamba Injili ni mkusanyiko wa “Mambo yanayohusu Ufalme wa Mungu” na jina la “Yesu Kristo”

Matendo ya Mitume 8:12, Matendo ya Mitume 19:8, Matendo ya Mitume 19:10, Matendo ya Mitume 19:20, Matendo ya Mitume 28:30-31

18. Kwamba 'Mambo ya Ufalme wa Mungu' ni uhakika unaoshuhudia yale yanayohusu Ufalme wa Mungu katika yale yaliyoandikwa na Manabii na Mitume, na yamefafanuliwa katika vifungu 12 vinavyofuata.

19. Kwamba Mungu atauweka ufalme wake hapa duniani, ambao utaziangusha falme zote, na kuzibadilisha na kuwa falme za Bwana na Kristo wake

Danieli 2:44, Danieli 7:13-14, Ufunuo 11:15, Isaya 32:1, Isaya 16:1-14;2:3-4, Isaya 11:9-10.

20. Kwamba kwa kusudi hili Mungu atamtuma Yesu Kristo mwenyewe aje hapa duniani katika siku za mwisho za utawala wa mataifa

Matendo ya Mitume 20:3-21, Zaburi 102:16, Zaburi 102:21, 2Timotheo 4:1, Matendo ya Mitume 1:9, Matendo ya Mitume 1:11, Danieli 7:13

21. Na kwamba Ufalme ambao atakaouweka utakuwa ni ufalme wa Israeli ambao utakuwa umerejeshwa, katika nchi ambayo hapo mwanzo ulikuwepo ufalme wa Mungu.

Nchi ambayo aliyoahidiwa kwa njia ya agano Ibrahimu na uzao wake (Kristo) kuimiliki milele

Mika 4:6-8, Amosi 9:11, Amosi 9:15, Ezekieli 37:21-22, Yeremia 23:3, Yeremia 23:8 Mwanzo 13:14-17, Waebrania 11:8-9, Wagalatia 3:16, Mambo ya Walawi 26:42, Mika 7:20

(4)

Luka 22:29-30. Nami nawawekea ninyi ufalme, kama vile Baba yangu alivyo niwekea mimi; mpate kula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu; na kuketi katika viti vya enzi, huku mkizihukumu kabila kumi na mbili za Israeli


Ufunuo 20:4-9. Kisha nikona viti vya enzi, wakaketijuu yake, nao wakapewa hukumu;nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu,na kwa ajili ya neno la Mungu,na hao wasiomsujudia yule mnyama,wala sanamu yake,wal hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao,wala katika mikono yke;nao wakawa hai,wakatawala na Kristo miaka elfu.Hao wafu waliosalia hawakuwa hai hata itimie ile miaka elfu.Huo ndiyo ufufuo wa kwanza.Heri,na mtakatifu, ni yeye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;juu ya hao mauti ya pili haina nguvu;bali watakuwa makuhani wa Mingu na wa Kristo,nao watatawala pamoj naye hiyo miaka elfu. Na hiyo miaka elfu itakapokwisha,Shetani atafunguliwa,atoke kifungoni mwake,naye atatok kuadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi,Gogu na Magogu,kuwakusanya kwa vita,ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. Watapanda juu ya upana wa nchi, wakizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni ukawala


Ufunuo 11:15. Malaika wa saba akapiga baragumu,pakawa na sauti kuu katika mbingu,zikisema,Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake,naye atamiliki milele na milele.

Isaya 65:20. Hatakuwapo tena mtoto wa siku chache, wala mzee asiye timia siku zake; kwa maana mtoto atakufa mwenye umri wa miaka mia, bai mtenda dhambi mwnye umri wa miaka atalaaniwa.


Ezekieli 44:22. Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini watatwaa mabikira wa wazao wa nyumba ya Israeli, au mjane aliyefiwa na mumewe kuhani.


Ezekieli 44:25. Wala hawatakaribia maiti na kujitia unajisi; ila kwa ajili ya baba, au mama, au mwana, au binti, au ndugu mwanamume, au ndugu mwanamke asiyeolewa bado waweza kujitia unajisi.


1 Wakorintho 15:24-28. Hapo ndipo mwisho, atakapo mpa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu. Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui zake chini ya miguu yake.Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.Lakini atakaposema,vyote vimetiishwa,ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo. Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atkapotiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili Mungu awe yote katika wote.


Mika 4:2. Namataifa mengi watakwenda na kusema, Njooni, twende juu mlimani kwa BWANA, na nyumbani kwa Mungu wa Yakobo;naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake;kwa maana katika Sayuni itatoka sheria na neno la BWANA litatoka Yerusalemu.


(45)

2 Wakorintho 5:1-4. Maana katika nyumba hii twaugua,tukitamani sana kuvikwa kao letu litokalo mbinguni;ikiwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tu uchi.Kwa sababu sisi tulio katika maskani hii twaugu,tukilemewa;si kwamba twataka kuvuliwa bali kuvikwa ili kitu kile kipatikanacho na mauti kimezwe na mauti.

Yakobo 1:12. Heri mtu yuleastahimiliyemajaribu; kwa sababu akisha kukubaliwa ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao

Warumi 2:7. Wale ambao kwa saburi katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutokuharibika, watapewa uzima wa milele.

Yohana 10:28. Nami nawapa uzima wa milele; wala hawata potea kamwe; wals hakuna mtu atakaye wrpokonya katika mkono wangu.

Mathayo 5:5. Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi.

Zaburi 37:9. Maana watenda mabaya wataharibiwa, bali wamngojo BWANA ndiyo watakaoirithi nchi.

Zaburi 37:22. Maana waliobarikiwa na yeye watairithi nchi, Nao waliolaaniwa na yeye wataharibiwa.

Zaburi 37:29. Wenye haki watairithi nchi, Nao watakaa humo milele.

Ufunuo 5:9. Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwakuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na taifa,

Danieli 7:27. Na ufalme, na mamlaka, na ukuu wa ufalme, chini ya mbingu zote, watapewa watu wa watakatifu wake Aliye juu; ufalme wake ni ufalme wa milele,na wote wenye mamlaka watamtumikia na kumtii.

1 Wathesalonike 2:12. Ili mwenende kama ilivyo wajibu wenu kwa Mungu, mwenye kuwaita ninyi ili mwingie katika ufalme wake na utukufu wake.

2 Petro 1:11. Maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu Mwokozi Yesu Kristo

Ufunuo 3:21. Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi

2 Timotheo 2:12. Kama tukistahimili, tutamiliki pamoja naye; kama tukimkana yeye, yeye naye atatukana.

Ufunuo 5:10. Ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

Zaburi 49:7-9. Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake, Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake, (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama, Wala hana budi kuiacha hata milele;) Ili aishi siku zote asilione kaburi.

(44)

22. Kwamba kurejeshwa kwa Ufalme huu tena kwa Israeli itahusisha kukusanywa kwa wateule wa Mungu,ambalo ni taifa lililotawanywa.Wayahudi,kurejea na kuishi katika nchi ya baba zao, wakati itakapokuwa nchi tena baada ya kuwa ukiwa kutoka vizazi vingi,kujengwa tena kwa Yerusalemu ambapo kutakuwa kiti cha enzi cha Bwana;na kuwa mji mkuu wa Bwana kwa dunia yote.

Isaya 11:12, Yeremia 31:10, Zekaria 8:8, Ezekieli 36:34-36, Isaya 51:3, Isaya 60:15, Isaya 62:4, Yeremia 3:17, Mika 4:7-8, Yoeli 3:17, Isaya 24:23

23. Kwamba ndugu wa Kristo, amabo wanatoka katika vizazi vyote ndiyo watakaotawala wakati ufalme utakapowekwa hapa duniani.

Ndugu hawa wanatatokana na wale watakaofufuka na walio hai ambo watabadilishwa baada ya hukumu, watakaotawala pamoja na Kristo ambaye ndiye atakuwa kichwa chao, hawa wote ni 'uzao wa Ibrahimu', ambaye katika yeye mataifa yote watabalikiwa, na ikiwa ni pamoja na Ibrahimu, Isaka na Yakobo,na manabii wote na waaminifu wote wa Agano la Kale na Agano Jipya.

Danieli 12:2, Luka 13:28, Ufunuo11:18, 1 Wathesalonike 4:15-17, Yohaana 5:28-29, Yohaana 6:39-40, Luka 14:14, Mathayo 25:34, Mathayo 25:46.

24. Na Yesu atakapodhihirishwa kabla ya kuweka Ufalme, wale wenye wajibu (yaani, wale waliojua mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa, na wakaitwa ili kuyatenda mapenzi ya Mungu*), waliokufa na waliohai...waliotii na wasiotii...wataitwa pamoja iliwakusanyike pamoja mbele za kiti cha hukumu cha Kristo ili wahukumiwe sawasawa na matendo yao; na kila mtu apokee ijara ya mambo aliyoyatenda kwa mwili, kadiri alivyotenda kwamba ni mema au mabaya.

2 Wakorintho 5:10, 2 Timotheo 4:1, Warumi 2:5-6, Warumi 2:16, Warumi 14:10-12, 1 Wakorintho 4:5, Ufunuo 11:18.

* Kifungu cha 24 kilifafanuliwa katika mwezi Januari, 1898, na ndugu Roberts kwa kukubali kabisa na kuthibisha ukweli kwa sababu ya mafundisho yenye makosa kwamba mtu anaweza kuepuka kufufuliwa kwa ajili ya hukumu ikiwa alikataa kubatizwa

25. Na wasiokuwa waaminifu watapata aibu na kifo cha pili; na waaminifu watapata uzima wa milele,nao watatawala pamoja na Kristo wakiwa ni warithi wa ufalme,ambao ni wamiliki wa nchi na kuwa washiriki wa mamlaka ya Mungu miongoni mwa wanadamu na watakuwa ni watawala katika mambo yote.

Mathayo 7:26, Mathayo 8:12, Mathayo 25:20-30, Danieli 12:2, Wagalatia 6:8, Wagalatia 5:21, 2 Wathesalonike 1:8, Waebrania 10:26-31, 2 Petro 2:12, Ufunuo 21:8, Malaki 4:1, Zaburi 37:30-38, Mithali 10:25-29, 1 Wakorintho 15:51-55, 2 Wakorintho 5:1-4, Yakobo 1:12, Warumi 2:7, Yohana 10:28, Mathayo 5:5, Zaburi 37:9, Zaburi 37:22, Zaburi 37:29, Ufunuo 5:9, Danieli 7:27, 1 Wathesalonike 2:12, 2 Petro 1:11, Ufunuo 3:21, 2 Timotheo 2:12, Ufunuo 5:10, Zaburi 49:7-9, Luka 22:29-30.

26. Na Ufalme wa Mungu utakapowekwa, utadumu kwa miaka elfu moja na dhambi na kifo vitaendele kuwepo kwa watu wenye damu na nyama ambao watakuwemo katika ufalme.

(5)

Na wakati huo maisha yatakuwa yameboreshwa, amani itakuwepo na chakula tele, siyo kama ilivyo sasa.

Ufunuo 20:4-9, Ufunuo 11:15, Isaya 65:20, Ezekieli 44:22, Ezekieli 44:25, 1 Wakorintho 15:24-28.

27. Na itawekwa sheria ambayo itafuatwa na mataifa yote ili kufundisha, waweze kutenda haki, na matokeo yake ni kuwa vita havitakuwepo tena, kwa maana dunia itajazwa na maarifa ya utukufu ya BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.

Mika 4:2, Isaya 42:4, Isaya 11:1-10, Isaya 2:4, Habakuki 2:14.

28. Na kwamba kusudi la Ufalme ni kuwaweka chini maadui wote, na adui wa mwisho ni kifo chenyewe, na kwa kifo cha Yesu alifungua njia ya uzima kwa ajili ya mataifa, ambao wataingia kwa njia ya imani, wakati wa miaka elfu moja, na (kwa kweli ) wakati wa mwisho wa miaka hiyo elfu moja.

1 Wakorintho 15:24-28, Ufunuo 21:4, Ufunuo 20:12-15, Isaya 25:6-8

29. Kwamba baada ya miaka elfu moja, utakuwepo ufufuo pamoja hukumu na huo ndiyo mwisho wa watenda maovu, na kwa wale walioishi kwa kutenda mema wale waliokuwa na damu na nyama wakati huo (chini ya neema ya Mungu) wakati wa miaka elfu moja, watapata vyeo na miili ya utukufu katika ufalme wa milele.

Ufunuo 20:11-15, 1 Wakorintho15:24

30. Kwamba hatimaye Kristo atakabidhi utawala kwa Baba yake, ambaye yeye atajidhihirisha na kuwa “yote-katika-yote” na kifo kitakuwa kimeondolewa na uhusiano mzuri wa kizazi cha watu wote na Mungu utakuwa umerejeshwa.

1 Wakorintho 15:28

Mafundisho yanapaswa kukataliwa

Kataa 1. Kwamba baadhi ya maandiko ya Biblia ni kazi ambayo ni pumzi ya Mungu - au ikiwa yote ni kazi ya pumzi ya Mungu,ina makosa ambayo yalitokana na pumzi ya Mungu.

Kataa 2. Kwamba Mungu ana nafsi tatu.

Kataa 3. Kwamba Mwana wa Mungu ni mshiriki-wa umilele pamoja na Baba tangu mwanzo.

Kataa 4. Kuwa Yesu alizaliwa “akiwa hawezi kutenda dhambi”

Kataa 5. Kwamba Yesu amezaliwa akiwa hana dhambi ya asili (yaani, Yesu alikingiwa dhambi ya asili )

Kataa 6. Kwamba Roho Mtakakatifu ni nafsi tofauti na Mungu Baba.

Kataa 7. Kwamba mtu ana roho isiyokufa.

Kataa 8. Kwamba mtu huendelea kuwa na ufahamu hata baada ya kifo

(6)

Waebrania 10:26-31. Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli,haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;bali kuna kuitazamia hukumu kwenye kutisha,na ukali wa moto uliotayari kuwala wao wapingao. Mtu aliyeidharau sheria ya Musa hufa pasipo huruma, kwa neno la mashahidi wawili au watatu. Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema? Maana twajua ya kuwa yeye aliyema,Kupatiliza kisasi ni juu yangu,mimi nitalipa. Na tena, Bwana atawahukumu watu wake.Ni jambo kutisha kuanguka katika mikono ya Mungu aiye hai.


2 Petro 2:12. Lakini,hao kama wanyama wasio na akili,ambao walizaliwa tu kama wanyama wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyo yajua, wataangamizwa katika maangamizo yao.


Ufunuo 21:8. Bali, waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabudio sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Malaki 4:1. Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuru; na watu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwa makapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema BWANA wa majeshi; hata haitawaachia shina wala tawi.


Zaburi 37:30-38. Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu. Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake. Hatua zake hazitelezi. Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumfisha. BWANA hata mwacha mkononi mwake, Wala hatamlaumu atakapohukumiwa. Wewe umngoje BWANA, Uishike njia yake, Naye atakutukuza uirithi nchi, Wasio haki watakapo haribiwa utawaona. Nimemwona mtu asiye haki mkali sana, Akijieneza kama mwerezi wa Lebanoni. Nikapita na kumbe/hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana. Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani. Wakosaji wataangamizwa pamoja, Wasio haki mwisho wao wataharibiwa.

Mithali 10:25-29. Kisulisuli kikisha pita asiye haki hayuko tena; bali mwenye haki ni msingi wa milele. Kama siki menoni, na kama moshi machoni, Ndivyo alivyo mtu mwivu kwao wamtumao. Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu, Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa. Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali kutaraji kwao wasio haki kutapotea. Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.

1 Wakorintho 15:51-55. Angalieni, na waambia ninyi siri, hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. Maana shariti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokuharibika. Basi huu uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na huu wa kufa utakapo vaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa kushinda.Kuwapi, U wapi,Ewe mauti,uchungu wako?


(43)

Warumi 14:10-12. Lakini wewe je! mbona wamhukumu ndugu yako? au wewe je! mbona wmdharau ndugu yako? Kwa meana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumujche Mungu.Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utamkiri Mungu. Basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa habari zake mwenyewe mbale za Mungu

1 Wakorintho 4:5. Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambye atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.

Ufunuo 11:18. Na mataifa walikasirika, hasira yako nayo ikaja,na wakati ukaja wa kuhukumiwa waliokufa,na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako manabii na watakatifu,na hao walichao jina lako,wadogo kwa wakubwa,na wa kuwaharibu hao waiharibuo nchi.

Mathayo 7:26. Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliye jenga nyumba yake juu ya mchanga;

Mathayo 8:12. Bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusga meno.

Mathayo 25:20-30. Akaja yule aliyepokea talanta tano, akaleta talanta nyingine tano, akisema, Bwana, uliweka kwangu taranta tano; tazama talanta nyingine tano nilizopata faida. Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako. Akaja na yule eliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nalitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya; basi nikaogopa, nikaenda nikaificha talanta yako katika ardhi; tazama, unayo iliyo yako. Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na ulegevu, ulijua kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya; basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyoyangu na faida yake. Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye na talanta kumi. Kwa maana kila mwenye kitu atapewa, na kuongezewa tele; lakini asiye na kitu, hata kile alichonacho atanyang'anywa. Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.

Danieli 12:2. Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele na wengine aibu na kudharauliwa milele.

Wagalatia 6:8. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.

Wagalatia 5:21. Husuda, uuaji, ulevi, ulafi na mambo yafnanayo nayo, katika mambo hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo hayo hawataurithi uzima wa milele.

2 Wathesalonike 1:8. Katika mwali wa moto; huku akimlipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasio itii injili ya Bwana wetu Yesu Kristo.


(42)

Kataa 9. Kwamba waovu watateseka milele katika ziwa la moto

Kataa 10. Kwamba watu wenye haki wanapokufa wanapaa kwenda katika ufalme peponi au paradiso.

Kataa 11. Kwamba ibilisi ni kiumbe kisichokuwa cha kawaida au kuwa ni malaika aliyeasi.

Kataa 12. Kwamba Ufalme wa Mungu ni 'Kanisa'

Kataa13. Kwamba Injili humaanisha kifo, kuzikwa, na ufufuo wa Kristo tu.

Kataa14. Kwamba Kristo hatakuja mpaka mwisho wa miaka elfu moja.

Kataa 15. Kwamba hukumu ya Kristo, atakapokuja, siyo hukumu kwa wenye haki, ila kuwagawia thawabu tofauti.

Kataa 16. Kwamba ufufuo ni kwa ajili ya waaminifu

Kataa 17. Kwamba waliokufa watafufuka wakiwa na miili ya utukufu (miili yenye uzima wa milele)

Kataa 18. Kwamba mataifa-yatakayojitiisha wakati wa miaka elfu moja ni wale wenye uzima wa milele.

Kataa 19. Kwamba Sheria ya Musa inatakiwa iendelee kuwatawala au kutumiwa na waamini wa Injili.

Kataa 20. Kwamba ni wajibu kuishika siku ya Jumapili

Kataa 21. Kwamba kuwanyunyizia watoto ni andiko takatifu.

Kataa 22. Kwamba 'watu wa mataifa', wasiojua ukweli, wapagani, na watoto wachanga wataokoka.

Kataa 23. Kwamba mtu anaweza kuokoka kwa njia ya matendo mema au nia njema, bila kuamini Injili.

Kataa 24. Kwamba Injili peke yake inaokoa, bila kutii amri za Kristo.

Kataa 25. Kwamba mtu hawezi kuamini mpaka awe na roho wa Mungu.

Kataa 26. Kwamba wapo watu walipangwa kupata wokovu tangu asili pasipo wao kujua.

Kataa27.Kwamba watu hawana mwili wenye dhambi.

Kataa 28. Kwamba Yusufu ndiye baba yake halisi wa Yesu.

Kataa 29.Kwamba dunia itaangamizwa

Kataa 30. Kwamba ubatizo siyo muhimu kwa wokovu

Kataa 31. Kwamba kuifahamu Kweli siyo muhimu kuhalalisha ubatizo.

(7)

Kataa32. Kwamba baadhi ya vyakula ni vya kukataliwa kwa kuwa ni najisi.

Kataa 33. Kwamba Waingereza ni makabila kumi ya Israeli, ambao mafanikio yao ni kutimia kwa ahadi alizopewa Efraimu.

Kataa 34. Kwamba kumwoa asiyeamini ni sahihi.

Kataa 35. Kwamba tunao uhuru wa kuwa maskari, au kuwa polisi*, kushiriki siasa, au kutumia nguvu za sheria mahakani au kumlazimisha unayemdai akulipe.

* "au Polisi asiye na cheo au mwenye cheo cha chini katika jeshi la Polisi" Sheria ilitungwa katika mwaka 1917, ambapo kazi ya polisi wakati ilikuwa kuwalinda wenye fedha, baadaye kusindikiza pesa, kupeleka wafungwa mahakani, na kulinda Benki, na kukamata watuhumiwa.

_____________________________________________________________________



2 Timotheo 3:16. Kila andiko lenye ya Mungu lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao,na kwa kuwaongoza,na kwa kuwaadibisha katika haki.


1 Wakorintho 2:13. Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa kwa Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

Waebrania 1:1. Mungu ambaye zamani alisema na baba zetu katika manabii, kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi.

2 Petro 1:21. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu

1 Wakorintho 14:37. Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.

Nehemia 9:30. Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawatia katika mikono ya watu wa nchi.

Yohana 10:35. Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu; na maandiko hayawezi kutanguka;

Isaya 40:13-25. Ni nani aliyeongoza roho ya BWANA, na kumfundisha kwa kuwa mshauri wake? Alifanya shauri na nani, ni nani aliyemwelimisha na kumfunza njia ya hukumu, na kumfunza maarifa, na kumwonyesha njia ya fahamu? Tazama, mataifa yote ni kama tone la maji katika ndoo, huhesabiwa kuwa kama mavumbi membamba katika mizani; tazama yeye huvinyanyua visima kama ni kitu kidogo sana. Lebanoni nayo hautoshi kwa kuni, wala wanyama wake hawatoshi kwa kafara. Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni ya si kitu, na ubatili. Basi, mtamlinganisha Mungu na nani? Au mtamfananisha na mfano wa namna gani? Sanamu, fundi mmoja huiyeyusha, na mfua dhahabu huifunika dhahabu, huifulia mikufu ya fedha.Yeye aliyemasikini sana hata hawezi kutoa sadaka ya namna, huchagua mti usiooza, hujitafutia fundi mstadiwa kusimamisha sana muya kuchongaisi yowe za kutikisika.

(8)

Ufunuo 11:18 11:18. Na mataifa walikasirika, hasira yako nayo ikaja,na wakati ukaja wa kuhukumiwa waliokufa,na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako manabii na watakatifu, na hao walichao jina lako, wadogo kwa wakubwa, na wa kuwaharibu hao waiharibuo nchi.

1 Wathesalonike 4:15-17. Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na ho waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutatakao salia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao walio kwisha kulala mauti. Kwa sababu Bwana menyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko,na sauti ya malaika mkuu,na parapanda ya Mungu;nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.Kisha sisi tulio hai,tuliosalia,tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu,ili tumlaki Bwana hewani;hivyo tutkuwa pamoja na Bwana milele.Basi,farijianeni kwa maneno hayo.

Yohana 5:28-29. Msistaajabie maneno haya; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake.Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo w uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufo wa hukumu.

Yohana 6:39-40. Na mapenzi yake aliyenipeleka ni haya, ya kwamba katika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufue siku ya mwisho. Kwa kuwa mapenzi ya Baba yangu ni haya, ya kwamba kila mtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho.

Luka 14:14. Nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.

Mathayo 25:34. Kisha mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume, Njooni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mlioekewa tangu kuubwa kwa ulimwengu.

Mathayo 25:46. Na hao watakwenda zao kuingia katika aghabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.

2 Wakorintho 5:10. Kwa maana imetupasa sisi sote kidhihirishwa mbele ya kiti ch hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyoyatenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, kwamba ni mema au mabaya.

2 Timotheo 4:1. Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, atakaye wahukumu walio hai nawaliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake.

Warumi 2:5-6. Bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu, atakaye mlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.

Warumi 2:16. Katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na injili yangu, Kristo Yesu.



(41)

Isaya 11:12 Naye atawatwekea mataifa bendera, atawakutanisha watu wa Israeli waliotupwa, atawaksnya watu wa Yuda waliotawanyika,kutoka ncha nne za dunia.

Yeremia 31:10. Lisikieni neno la BWANA, enyi mataifa, litangazeni visiwani mbali, mkaseme, aliyemtswanya Israeli atamkusanya, na kumlinda, kama mchungaji alindavyo kundi lake.

Zekaria 8:8. Nami nitawaleta, nao watakaa katikati ya Yerusalemu; nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao, katika kweli na katika haki.

Ezekieli 36:34-36. Nchi iliyokuwa ukiwa italimwa, ijapokuwa ilikuwa ukiwa mbele ya macho ya watu wote waliopita.Nao watasema, Nchi hii iliyokuwa ukiwa, imekuwa kama bustani ya Adeni, nayo miji iliyokuwa mahame, na ukiwa, na magofu, sasa ina maboma, inakaliwa na watu. Ndipo mataifa, waliobaki karibu yenu pande zote, watajua kuwa mimi, BWANA, nitajenga mahali palipoharibika, nami nimepanda mbegu katika nchi iliyokuwa ukiwa; mimi, BWANA, nimesema hayo; tena nitayatenda

Isaya 51:3. Maana BWANA ameufariji Sayuni;amepafariji mahali pake palipokuwa ukiwa;amefanya jangwa lake kuwa kama bustani ya Edeni,na nyika yake kuwa kama bustni ya BWANA; furaha na kicheko zitaonekan ndani yake,kushukuru,na sauti ya kuimba.

Isaya 60:15. Na kwa kuwa umeachwa na kuchukiwa, hata ikawa hakuna mtu aliyepita ndni yako, Nitakufanya kuwa fahari ya milele, furaha ya vizazi vingi.

Isaya 62:4. Hutaitwa tena Aliyeachwa, ala nchi yako haitaitwa tena, Ukiwa; bali utaitwa Hefsiba; na nchi yaako Beula; kwa kuwa BWANA atakufurahia, na nchi yako itsolewa.

Yeremia 3:17. Wakati ule watauita Yerusalemu kiti cha enzi cha BWANA, na mataifa yote watakusanyika huko Yerusalemu, kwa ajili ya jina la BWANA; wala hawatakwenda tena kwa ukaidi wa moyo wao mbaya.

Mika 4:7-8. Nami nitamfanya yeye aliyechechemea kuwa mabaki, na yeye aliyetupwa mbalikuwa taifa lenye nguvu; na BWANA atawamiliki katika mlima Sayuni tangu sasa na hata milele. Na wewe, Ee mnara wa kundi, kilima cha binti Sayuni, utajiliwa; naam, mamlaka ya kwanza yatakuja, ufalme wa binti Yerusalemu.

Yoeli 3:17. Ndivyo ndivyo mtakavyojua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu nikaaye Sayuni, mlima wangu mtakatifu; ndipo Yerusalemu utakapokuwa mtakatifu, wala wageni hawatapita tena ndani yake kamwe.

Isaya 24:23. Ndipo mwezi utatahayari, na jua lione haya; kwa kuwa BWANA wa majeshi atatawala katika mlima wa Sayuni, na katika Yerusalemu, nambele za wazee wake kwa utukufu.

Danieli 12:2. Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele na wengine aibu na kudharauliwa milele.

Luka 13:28. Ndipo kutakapokuwapo kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.

(40)

Je!hamkujua? hamkusikia? hamkuambiwa tokea mwanzo? hamkufahmu tangu kuwekwa misingi ya dunia? Yeye ndiye anayeketi juu ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama pumzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia, na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa; ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia. Naam, hawakupandwa; hawakutiwa katika ardhi kama mbegu; naam, shina lao halikutia mizizi katika ardhi; tena awapuzia tu, wakanyauka, upepo wa kisulisuli wawaondoa kama mabua makavu. Mtanifananisha na nani, basi, nipate kuwa sawa naye? asema yeye aliye Mtakatifu.


Isaya 43:10-12. Ninyi ni mashahidi wake, asema BWANA, na mtumishi wangu niliyemchagua; mpate kujua, na kuniamini, na kufahamu ya kuwa mimi ndiye; kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi hatakuwepo mwingine. Mimi, naam, mimi, ni BWANA, zaidi yangu mimi hapana mwokozi. Nimetangaza habari, nimeokoa, nimeonyesha, na hapakuwa na mungu wa kigeni kati yenu; kwa sababu hiyo ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA, nami ni Mungu.


Isaya 44:6-8. BWANA, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako, BWANA wa majeshi, asema hivi; Mimi ni kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu. Naye ni nani kama mimi atakayeita, na kuyahubiri haya, na kunitengenezea, tangu nilipowaweka watu wa kale? Na mambo yanayokuja, na yanatayotokea, wayatangaze. Msiogope wala msifanye hofu; je! sikukuhubiri haya zamani na kuyaonyesha? Na ninyi ni mashahidi wangu. Je! yuko Mungu zaidi yangu mimi?hakika hapana Mwamba;mimi sijui mwingine.


Isaya 45:5. Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hapana Mungu; nitakufunga mshipi ijapokuwa hukunijua.


Isaya 46:9-10. Kumbukeni mambo ya zamani za kale; maana mimi ni Mungu, wala hapana aliye kama mimi; Nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.

Job 38:1-41. Ndipo BWANA akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema, Ni nani huyu atiaye mashauri giza, Kwa maneno yasiyokuwa na maarifa? Basi ajifunge viuno kama mwanaume, Maana nitakuuliza, nawe niambie. Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya sema kama ukiwa na ufahamu. Ni nani aliyeamrisha vipimo vyake, kama ukijua? Au ni nani aliyenyosha kamba juu yake? Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani? Au ninani aliyeliweka jiwe lake la pembeni, Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha? Au ni nani aliyefunga bahari kwa milango Hapo ilipofurika kana kwamba imetoka tumboni. Nilipolifanya winbu kuwa vazi lake, Na giza zito kuwa kamba ya kuifungia, Nikaiagiza amri yangu; Nikaiwekea makomeo na milango, Nikasema, utafika mpaka hapa,lakini hutapita. Hapa mawimbi yako yanyetayo yatazuiliwa? Je, umeiamuru asubuhi tangu zako zilipoanza? Umeyajulisha mapambazuko mahali pake? Yapate kuishika miisho ya nchi, Waovu wakungu'utwe wawe mbali nayo? Hubadilika mfano wa udongo chini ya kaburi Vitu vyote vinatokea kama mavazi. Na waovu nuru yao huzuiliwa isiwafikie, Na mkono uliovunjika huvunjika Je umeziingia chem chemi yaa bahari, Au umetembea mahali pa siri pa vilindi? Je, umefunuliwa malango ya mauti. Au umeyaona malango ya

(9)

kuzimu? Umeyafahamu mapana ya dunia? Haya, sema, ikiwa unayajua hayo yote, Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia mahali pake ni wapi? Upate kuipeleka hata mpaka wake, Upate kuelewa na mapito ya kuindea nyumba yake? Hukosi unajua, maana ulizaliwa wakati huo. Na hesabu ya siku zako ni kubwal, Je.umeziingia ghala za theruji. Au umeziona ghala za mvua ya mawe, Nilizoziweka akiba kwa wakati wa misiba, Kwa siu ya mapigano na vita? Je. nuru hutengwa kwa kiu gani, Au upepo wa mashariki hutawanywaje juu ya nchi? Ni nani aliyepasua mfereji kwa maji ya gharika, Au njia kwa umeme wa radi, Kunyesha mvua juu ya nchi isiyo na watu; Juu ya jangwa asiyokaa mwanadamu; Kuishibisha nchi iliyo kame na ukiwa, Na kuyameza majani yaliyomororo? Je mvua ina baba? Au ni nani aliyeyazaa matone ya umande? Barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na sakitu ya mbinguni ni nani aliyeizaa? Maji hugandamana kama jiwe, Na uso wa vilindi huganda kwa baridi. Je waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia, Au kuvilegeza vifungo vya Orioni? Je waweza kuziongoza Sayari kwa wakati wake? Au waweza kuongoza Dubu na watoto wake? Je unazijua amri zilizoamuriwa mbingu? Waweza kuyathibisha mamlake yake juu ya dunia? Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawiinguni? Ili wingi wa maji ukufunikize? Waweza kuutuma umeme, nao ukaenda, Ukakuambia Sisi tupo hapa? Je ni nani aliyetia hekima moyoni? Au ni nani aliyetia ufahamu rohoni? Ni nani aliwezaye kuyahesabu mawingu kwa hekima? Au ninani awezaye kuzimimina chupa za mbinguni? Wakati mavumbi yagandamanapo, Na madongoa kushika pamoja? Je, utamwindia simba mke, mawindo? Au, utashibisha njaa ya simba wachanga, Waoteapo mapangoni mwao, Wakaapo mapangoni wapate kuvizia? Ninani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutanga-taga kwa kutindikiwa chakula?

Ayubu 39:1-30. Je wajua majira ya kuzaa kwao mbuzi-mwitu walio majabarini? Au waweza kusema majira ya kuzaa kulungu? Je waweza kuhesabu miezi yao watakayo itimiza? Au je wajua majira ya kuzaa kwao? Wao hujiinamisha, kuzaa watoto wao, watupa taabu zao. Watoto wao wa katika hali nzuri, hukua katika bara wazi; Huenda zao wala hawarudi tena. Ni nani aliyempeleka punda-milia aende huru? Au je ni nani aliyemfungulia vifungo punda-mwitu? Ambaye nimeifanya nyika kuwa nyumba yake, Na nchi ya chumvi kuwa makao yake. Yeye hudharau mshindo wa maji, Wala hasikii kelele zake msimamizi Upana wa milima ni malisho yake, Hutafuta-hutafuta kila kitu kilicho kibichi. Je nyati atakubali kukutumikia? Au atakaa katika zizi lako? Je waweza kumfunga nyati kwa kamba matutani? Au, yeye atayalima mabonde nyuma yako? Je utamtumaini kwa sababu ana nguvu nyingi? Au, utamwachia yeye kazi yako? Je utamtumaini kwamba ataileta mbegu yako nyumbani. Na kukusanya nafaka za ya kiwanja chako cha kupuria? Bwawa la mbawa hufurahi; Lakini mabawa yake na manyonya yake,je yana huruma? Kwani yeye huyaacha mayai yake juu ya nchi, na kuyatia moto mchangani, Na kusahau kwamba humkini mguu kuyavunja. Au mnyama wa mwitu kuyakayanga. Yeye huyafanyia ukali yake, kama kwamba si yake; Ijapokuwa taabuyake ni ya bure, hana hofu; Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu. Wakati anapojiinua juu aende, Humdharau farasi na mwenye kumpanda. Je wewe ulimpa farasi uwezo wake? Au, ni wewe uliyemvika shingo yake manyonya yatetemayo? Ndiwe uliyemfanya aruke kama nzige? Fahari ya mlio wake hutisha. Hupara-para bondeni, na kuzifurahia nguvu zake; Huotka kwenda kukutana na wenye siraha. Yeye hufanyia kicho dhihaka, wala hashangai; Wala hageuki kurudi nyuma mbele ya upanga. Pondo humpigia makelele, Mkuki ung'aao na fumo. Huimeza nchi kwa ukali wake na ghadhabu; Wala hasimami kwa sauti ya baragumu. Kila ipigwapo

(10)

Danieli 7:13. Nikaona katika njozi zs usiku,na tazama,mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyu Mzee wa siku,wakamleta karibu naye.Naye akapewa mamlaka,na utukufu,na ufalme ili watu kabila zote,na taifa zote,na lugha zote,wamtumikie,mamlaka yake ni mamlaka ya milele,ambayo haitapita kamwe,na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.

Mika 4:6-8. Nami nitamfanya yeye aliyechechemea kuwa mabaki, na yeye aliyetupwa mbalikuwa taifa lenye nguvu; na BWANA atawamiliki katika mlima Sayuni tangu sasa na hata milele. Na wewe, Ee mnara wa kundi, kilima cha binti Sayuni, utajiliwa; naam, mamlaka ya kwanza yatakuja, ufalme wa binti Yerusalemu.

Amosi 9:11. Siku hiyo nitaiinua tena maskani ya Daudi iliyoaguka, na kuziba mahali palipobomoka; nami nitayainua magofu yake, na kuyajnga kama siku za kale.

Amosi 9:15. Nami nitawapanda katika nchi yao, wala hawatang'olewa tena watoke katika nchi niliyowapa, asema BWANA, Mungu wako.

Ezekieli 37:21-22. Ukawaambie, BWANA MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda,nami nitawakusanya pande zote,na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;nami nitawfanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo,juu ya milima ya Israeli;na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote;wala hawakuwa mataifa tena mawili,wala hawatagawanyika kuwa falme mbili tena,hata milele.

Yeremia 23:8. Lakini Aishivyo BWANA, aliyewapandisha na kuwaongoza wazao wa wa nyumba ya Israeli kutoka nchi ya kaskazini, na kutoka nchi zote nilikowafukuza,nao watakaa katika nchi yao wenyewe.

Mwanzo 13:14-17. BWANA akamwambia Abramu, alipokwisha kutengena na Lutu, inua sasa macho yako,ukatazame kutoka hapo ulipo,upande wa kaskazini,na wa kusini na wa mashariki na wa magharibi;maana nchi hii yote uionayo,nitakupa wewe ns uzao hata milele.Na uzao wako nitaufanya uwe kama mavumbi ya nchi,hata mtu akiezs kuyahesabu mavumbi ya nchi,na uzao wako nao utahesabika.Ondoka, ukatembee ktika nchi hii,katika mapana yake na marefu yake,maana nitakupa wewe nchi hiyo

Waebrania 11:8-9. Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako. Kwa imni alikaa ugenini katika nchi ile ya ahadi, kama katika nchi isiyo yake,kika kstikabhema pamoja na Isaka na Yakobo, warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.

Wagalatia 3:16. Basi ahdi zilinenwa kwa Ibrahimu na mzao wake. Hasemi, Kwa wazao kana kwamba ni wengi, bali kana kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani, Kristo.

Mambo ya Walawi 26:42. Ndipo nitakapokumbuka Agano langu pamoja na Yakobo, tena Agano langu na Isaka, tena agano langu na Ibrahimu nitalikumbuka; nami nitaikumbuka nchi hiyo.

Mika 7:20. Wewe utamtimizia Yakobo kweli yako, na Ibrahimu rehema zako, ulizowaapia baba zetu siku zs kale.



(39)

Matendo ya Mitume 20:3-21. Alipokwisha kukaa huko miezi mitatu, na Wayahudi kumfanyia vitimbi, alipotaka kwenda Shamu kwa njia ya bahari;basi akaazimu kurejea kwa njia ya Makodenia.Watu hawa wakafuatana naye,Sopatro Mberoya,mwana wa Piro,na Aristarko na Sekundo,watu wa Thesaniloke;na Gayo ntu wa Derbe,na Timotheo;na Tikiko na Trofimo watu Asia. Ila watu hao wamekwisha kutangulia watatungojea Troa. Sisi tukatweka baada ya siku ya za mikate isiyotiwa chachu, tukatoka Filipi,tukawafikia Troa,safari ya siku tano,tukaa hpo siku saba. Hata siku ya kwanza ya juma,tulipokuwa tumekutana ili kumega mkate Paulo akawahutubu,akiazimu kusafiri siku ya pili yake,naye akafuliza maneno yake hata usiku wa manane. Palikuwa na taa nyingi katika orofa ile tulipokuwa tumekusanyika.Kijana mmoja,jina lake Eutiko,alikuwa ameketi dirishani,akalemewa na usingizi san;hata Paulo alipoendea sana kuhubiri,akazidiwa na usingizi wake akaanguka toka orofa ya tatu;akainuliwa amekwisha kufa.Pauloakashuka,akamwangukia,akamkumbatia,akasema,Msifanye ghasia,maana uzima wake ungalimo ndani yake.Akapanda juu tena,akamega mkate,akala,akazidi kuongea nao hata alfajiri,ndipo akaenda zake.Wakamleta yule kijana,yu mzima,wakafarijika faraja kubwa sana. Lakini sisi tukatangulia kwenda merikebuni,tukaabiri kwenda Asia,tukiusudia kumpakia Paulohuko;kwa maana ndivyo alivyotuagiza,yeyemwenyewe aliazimu kwenda kwa miguu.Alipotufikia huko Aso,tukampakia,kisha tulkaa huko MitireneTukatweka kutoka huko,na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio,siku ya tatu tukawasili Samo,tukakaa Trogilio,siku ya nne tukafika Mileto.Kwa sababu Paulo amekusudia kupita Efeso merikebuni,asije akakawia katika Asia;kwa maana alikuwa na haraka,akita kuwahi Yerusalemu siku ya Pentekoste,kama ikirwezekana. Toka Mileto Paulo akatuma watu kwenda Efesoakawaita wazee wa kanisa.Walipofika kwake akawaambia, Ninyi wenyewe mnajua tangu siku ya kwanza nilipokanyaga hapa Asia,jinsi nilivyokuwa kwenu wakati wote,nikimtumikia Bwana kwaunyenyekevu wote,na kwa machozi,na majaribu yaliyonipata kwa hila za Wayahudi;ya kuwa sikujiepusha katika kuwatangazia neno lolote liwezalo kuwafaa,bali naliwafundisha waziwazi,na nyumba kwa nyumba,nikiwashuhudia Wayahudi na Wayunani wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.

Zaburi 102:16. BWANA atakapokuwaa meijenga Sayuni, takapoonekana katika utukufu wake.

Zaburi 102:21. Watu walitangaze jina la BWANA katika Sayuni, Na sifa zake katika Yerusalemu.

2 Timotheo 4:1. Ninakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Bwana Yesu Kristo atakaye wahukumu walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake

Matendo ya Mitume 1:9. Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.

Matendo ya Mitume 1:11. Wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesima mkitazma mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda juu mbinguni atakuja jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake mbinguni.



(38)

baragumu yeye,yeye husema, Aha Naye husikia harufu ya vita toka mbali, Mshindo wa maakinda, na makelele. Je mwewe huruka juu kwa akili zako, Na kuyanyosha mabawa yake kwenda kusini? Jetai hupaa juu kwa amri yako, Na kufanya kioto chake mahali pa juu? Hukaa jabarini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni. Toka huko yeye huchungulia mawindo; Macho yake huyaangalia toka mbali. Makinda yake nayo hufyonza damu; Na kwenye maiti ndiko aliko.


Ayubu 40:1-24. BWANA akafuliza kumjibu Ayubu, na kusema. Je mwenye hoja atashindan na Mwenyezi? Mwenye kujadiliana na Mungu na ajibu yeye. Ndipo Ayubu akamjibu Mungu, na kusema, Tazama, mimi si kitu kabisa, nikujibu nini? Naweka mkono wangu kinywani pangu. Nimenena mara moja, nami sitajibu; Naam, nimenena mara mbili, lakini sitaendelea zaidi. Ndipo BWANA akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema, Jifunge viuno kama mwanamume, Mimi nitakuuliza neno, nawe niambie. Je hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani upate kuhesabiwa haki? Au je wewe una mkono kama Mungu? Waweza kutoa ngurumo kwa sauti kama yeye? Haya jivike sasa fahari na ukuu; Jipambe heshima na enzi. Mwaga mafuriko ya hasira zako, Ukamtazame kila mtu mwenye kiburi, ukamdhili. Mtazame kil mwenye kiburi ukamshushe, Ukawakanyage waovu hapo wasimamapo. Wafiche mavumbini pamoja, Wafunge nyuso zao mahali palipositirika. Ndipo mimi nami nitazikiri habari zako, Ya kuwa mkono wako wa kuume waweza kukuokoa. Mwangalie huyu kiboko, niliyemwumba pamoja nawe; Yeye hula nyasi kama vile ng'ombe, Tazama basi, nguvu zake ni katika viuno vyake, Na uwezo wake uko katika mishipa ya tumbo lake. Yeye hutikisa mkia wake mfano wa mwerezi; Mishipa ya mapaja yake yanaungamana pamoja. Mifupa yake ni kama mirija ya shaba; Mbavu zake ni kama vipande vya chuma.Yeye ni mkuu wa njia za Mungu; Yeye aliyemfanya alimpa upanga wake Hakika milima humtolea chakula, Hapo wachezapo wanyama wote wa barani. Hulala chini ya miti yenye vivuli, Mafichoni penye mianzi, na matopeni. Hiyo miti yenye vivuli humfunika kwa vivuli vyao; Mierebi ya vijito humzunguka. Tazama, mto ukifurika, yeye hatetemeki; Hujiona yu salama, ijapokuwa Yordani hufurika hata kinywani pake. Je mtu yeyote atamnasa akiwa yu macho, Au, kumtoboa pua yake kwa mtego?

Kumbukumbu la Torati 6:1-4. Na hii ndiyo sheria, na amri, na hukumu, alizoziamuru BWANA, Mungu wetu, mfundishwe, mpate kuzitenda katika nchi ile mnayoivukia kuimiliki; upate kumcha BWANA, Mungu wako, kuzishika amri zake zote, na sheria zake, ninazokuamuru, wewe na mwanao, na mwana wa mwanao, siku zote za maisha yako; tena siku zako ziongezwe. Sikiza basi, Ee Israeli, ukaangalie kuzitenda; upate kufanikiwa, mpate kuongezeka sana, kama BWANA, Mungu wa baba zako, alivyokuahidi, katika nchi ijaayo maziwa na asali. Sikiliza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA, ndiye mmoja.

Marko 12:29-32. Yesu akamjibu,Ya kwanza ndiyo hii, Sikia ,Ee Israeli, BWANA, Mungu wetu ni BWANA mmoja; nawe mpende BWANA, Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili yako yote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu, umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ila yeye.

1 Wakorintho 8:4-6. Basi kwa habari ya kuvila vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja

(11)

tu. Kw maana ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni ama duniani, kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi; lakini kwetu sisi Mungu nimmoja tu, aliye Baba, ambayevitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; na yako na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo.

Efeso 4:6. Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote. One.

1 Timotheo 2:5. Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu.


Nehemia 9:6. Wewe ndiwe BWANA, wewe peke yako, wewe ulifanya mbingu, mbingu za mbingu, pamoja na jeshi lake lote, dunia na vyote vilivyomo, bahari na vitu vyote vilivyomo, nawe unavihifadhi vitu hivi vyote; na jeshi la mbinguni lakusujudia wewe

Ayubu 26:13. Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.

Zaburi 124:8. Msaada wetu u katika jina la BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

Zaburi 146:6. Aliyezifanya mbingu na nchi, Bahari na vitu vyote vilivyomo. Huishika kweli milele.

Zaburi 148:5.Na vilisifu jina la BWANA, Kwa maana aliamuru, vikaumbwa.

Isaya 40:25-27.Mtanifananisha na nani, basi, nipate kuwa sawa naye? Asema yeye aliye. Mtakatifu.Inueni macho yenu juu, mkaone; ni nani aliyeziumba hizi; aletaye nje jeshi lao kwa hesabu;aziita zote kwa majina; kwa ukuu wa uweza wake, na kwa kuwa yeye ni hodari kwa nguvu zake;hapana moja isiyokuwapo mahali pake. Mbona unasema, Ee Yakobo, mbona unanena, Ee Israeli, Njia yangu imefichwa, BWANA asiione, na hukumu yangu imempita Mungu wangu asiiangalie?

Yeremia 10:12-13. Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeke, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake. Mtawaambia hivi, miungu hiyo isiyofanya mbingu na nchi, hiyo itaangamia katika nchi, nayo itatoweka chini ya mbingu. Ameiumba dunia kwa uweza wake. Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu. Atoapo sauti yake, pana mshindo wa maji mbinguni, Naye hupandisha mawingu toka ncha za nchi; Huifanyizia mvua umeme, Huutoa upepo katika hazina zake.

Yeremia 27:5. Mimi nimeiumba dunia hii,wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.

Yeremia 32:17-25. Aa! BWANA, Mungu, tazama, wewe umeziumba mbinvu na nchi, kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa; hapana neon gumu usiloliweza; wewe uwarehemuye watu elfu nyingi, uwalipaye baba za watu waovu wao vifuani mwa watoto wao baada yao; Mungu aliye mkuu,aliye hodari, BWANA, wa majeshi ndilo jina lake; mkuu wa mashauri;mweza wa kutenda;ambaye macho yake yamefumbuka juu ya njia zote za wanadamu,kumpa kila mtu kwa kadiri ya njia zake,na kwa kadiri ya matunda ya matendo yake,wewe uliyeweka ishara na ajabu katika nchi ya

(12)

Danieli 7:13-14. Nikaona katika njozi za usiku,na tazama,mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyu Mzee wa siku,wakamleta karibu naye.Naye akapewa mamlaka, na utukufu,na ufalme,ili watu wa kabila zote, na taifa zote,na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambryo haitapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.

Ufunuo 11:15. Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake naye atamiliki hata milele na milele.

Isaya 32:1. Tazama mfalme atamiliki kwa haki, na wakuu watatawala kwa hukumu.

Isaya 16:1-14. Pelekeeni wana-kondoo, kodi yake aitawalaye nchi toka Sela kuelekea jangwani,mpaka mlima wa binti Sayuni.Na binti z Moabu watakuwa kama ndege warukao huko na huko,kama kioto cha ndege waliotiwa hofu,kwenye vivuko vya Arnoni.Lete shauri,kata neno;fanya kivuli chako kuwa kama usiku kati ya mchana;wafiche waliofukuzwa;usiwachongee waliopotea.Watu wangu waliofukuzwa waache waache wakae pamoja nawe;katika habari za Mobu,uwe sitara kwake mbele ya uso wake anaye haribu;maana yeye atozaye kwa nguvu amekoma;afanyanye ukiwa ametoweka,waliokanyaga watu wametoka katika nchi.Na kiti cha enzi kitafanywa imara kwa rehema;na mmoja atketi juu yake katika kweli,katka hema ya Daudi,akifanya hukumu,akitaka sana yaliyo haki,mwepesi wa kutenda haki. Tumesikia habari za kiburi cha Moabu,ya kwamba ni mwenye kiburi kingi;habari za majivuno yake,na kiburi chake,na ghadhabu yake;majivuno yake si kitu.Kwa sababu hiyo Moabu atalia kwa jili ya Moabu,kila mmoja atalia,maana mtaiombolezea mikate ya zabibu ya Kir-Haresethi,mkipigwa sana.Maana makonde ya Heshboni yamenyauka,na mzabibu wa Sibma;mabwana wa mataifa wameyavunja matawi yake mateule;yamefika hata Yazeri,yalitanga-tanga hat nyikani,matawi yake yalitapakaa,yaliivuka bahari.Basi,naililia mizabibu ya Sibma kwa kilio cha Yazeri,nitawanyeshea machozi yangu,Ee Heshboni na Eleale,kwa kuwa kelele za vita zimeyaanguki mavuno ya matund yako,na mavuno ya mizabibu yako. Na furaha imeondolewa,na shangwe toka mashamba yaliyozaa sana;hapana kuimba katika mashamba ya mizabibu,walasauti za furaha;akanyagaye divai hakanygi katika mashinkizo;nimeikomesha sauti ya furaha yake akanyagaye.Kwa sababu hiyo mtima wangu unamlilia Moabu kama kinubi,na matumbo yangu kwa sjili ya Kir-Heresi.Tena itakuwa, Moabu akionekana,na kujichosha kwa kulia juu ya mahali pa juu,na kuingia katika patakatifu pake aombe,hatapata kushinda.Hilo ndilo neno lile alilolisema BWANA juu ya Moabu zamani. .Lakini sasa BWANA asema hivi, Katika muda wa miaka mitatu,kama miaka ya mtu wa mshahara,utukufu wa Moabu utadharauliwa,pamoja na wingi wake wote;mabaki yake yatakuwa machache sana,kama si kitu kabisa.

Isaya 11:9-10. Hawadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua BWANA, kama vile maji yanavyoifunika bahari. Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa kabila za watu,yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta;na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.



(37)

Matendo ya Mitume 2:41. Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.

Matendo ya Mitume 10:47 Ni nani awezaye kukataza maji, hawa wasibatizwe, watu waliopokea Roho Mtakatifu vilevile kama sisi?

Matendo ya Mitume 8:12 Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri habari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume kwa wanawake.

Wagalatia 3:27-29 Maana ninyi nyote liobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala mtu huru.Hapana mtu mume wala mtu mwanamke.Maana ninyi mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.Na kama ni wa Kristo, basi, mmekuwa ni uzao wa Ibrahimu,na warithi sawa sawa na ahadi.

Warumi 6:3-5. Hamfahamu kuwa susi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake? Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizokatika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba,vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima.Kwa maana kama tulivyounganika naye katika mfano wa mauti yake,kadhalika tutaunganika kwa mfano wa kufufuka kwake:

Warumi 2:7 Wale ambao kwasaburi katika kutenda mema, wanatafuta utukufu naheshima nakutokuharibika,watapewa uzima wa milele.

Mathayo 28:20. Na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi, na tazama; mimi nipo pamoja nanyi,hata ukamilifu wa dahari Amina.

Yohana 15:14. Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo

Matendo ya Mitume 8:12. Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri habari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume kwa wanawake.

Matendo ya Mitume 19:8 Akaingia ndani ya sinagogi akanena kwa ushujaa kwa muda wa miaka mitatu, akihojiana na watu, na kuwavuta katika mambo ya ufalme wa Mungu.

Matendo ya Mitume 19:10. Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili; hata wote walioka Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wayunani

Matendo ya Mitume 19:20. Hivyo ndivyo neno la Bwana lilivyozidi na kushinda kwa nguvu.

Matendo ya Mitume 28:30-31. Akakaa miaka miwili mizima katika nyumba yake aliyokuwa ameipanga, akawakaribisha watu wote waliokuwa wakimwendea, akihubiri habari za ufalme wa Mungu, n kuyafundisha mambo ya Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri mwingi, asiketazwe na mtu

Danieli 2:44. Na katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala wtu wengine hawataachiwa enzi yake; bali atavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.



(36)

Misri hata siku hii ya leo, katika Israeli na kati ya watu wengine;na kujifanyia jina kama ilivyo leo; ukawatoa watu wako, Israeli, katika nchi ya Misri, kwa ishara, na kwa ajabu, na kwa mkono hodari, na kwa mkono ulionyoshwa, na kwa utisho mkuu; ukawapa nchi hii, uliyowaapia baba zao kwamba utawapa, nchi iliyojaa maziwa na asali; nao wakaingia, wakaimiliki; lakini hawakuitii sauti yako, wala hawakuenda katika sheria yako; hawakutenda neno lolote katika haya uliyowaagiza wayatende; basi, kwa sababu hii umeleta juu yao mabaya haya yote; angalia maboma haya; wameujia mji huu ili kuutwaa; na mji huu umetiwa katika mikono ya Wakaldayo wanaopigana nao, kwa sababu ya upanga, na njaa, na tauni; na hayo uliyosema yamekuwa; na tazama, wewe unayaona. Nawe, Ee BWANA, Mungu, umeniambia, Jinunulie shamba lile kwa fedha, ukawaite mashahidi; iwapo mji huu umetiwa katika mikono ya Wakaldayo; je itakuwaje?

Yeremia 51:15. Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwngu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.

Matendo ya Mitume 14:15. Wakisema, Akina bwana, mbona mnafanya haya? Sisi nasi tu wanadamu hali moja na ninyi; twawahubiri habari njema, ili mgeuke na kuyaacha mambo haya ya ubatili na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu na nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo;

Matendo ya Mitume 17:24. Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu yote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni BWANA wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;

1 Mambo ya Nyakati 29:11-14. Ee BWANA, ukuu ni wako, na uweza, na utukufu, na kushinda, na enzi; maana vitu vyote vilivyo mbinguni na duniani ni vyako; ufalme ni wako, Ee BWANA, nawe umetukuzwa,u mkuu juu y vitu vyote. Utajiri na heshima hutoka kwako wewe, nawe watawala juu ya vyote; na mkononi mwako mna uweza na nguvu; tena mkononi mwako mna kuwatukuza na kuwawezesha wote. Basi sasa, Mungu wetu, twakushukuru na kulifu jina lako tukufu.Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, hata tuweze kutoa kwa hiari hivi? Kwani vitu vyotevyatoka kwako, na katika vitu vyako mwenyewe tumekutolea.

Zaburi 62:11. Mara moja amenena Mungu; Mara mbili nimeyasikia haya, Ya kuwa nguvu zina Mungu.

Zaburi 145:3. BWANA ndiye mkuu mwenye kusifiwa sana, Wala ukuu wake hautambulikani.

Isaya 26:4. Mtumaini BWANA siku zote, Maana BWANA ni YEHOVA mwamba wa milele.

Isaya 40:26. Inueni macho yenu juu, mkaone; ni nani aliyeziumba hizi; aletaye nje jeshi lao kwa hesabu; aziita zote kwa majina; kwa ukuu wa uweza wake, na kwa kuwa yeye ni hodari kwa nguvu zake; hapana moja isiyokuwapo mahali pake.

Ayubu 9:4. Yeye ni mwenye hekima moyoni, na mwenye uwezo katika nguvu; Ni nani aliyejifanya kuwa mgumu juu yake, naye akafanikiwa?

Ayubu 36:5. Tazama, Mungu ni hodari, wala hamdharau mtu yeyote; Ana uweza katika ngvu za fahamu.



(13)

Zaburi 92:5, Ee BWANA, jinsi yalivyo makuu matendo yako! Mawazo yako ni mafumbo makubwa

Zaburi 104:24. Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako/Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa mali zako.

Zaburi 147:4-5. Huihesabu idadi ya nyota, Huzipa zote majina. BWANA wetu ni mkuu na mwingi wa nguvu, Akili zake hazina mpaka.


Isaya 28:29. Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu,apitaye wote kwa hekima yake.


Warumi 16:27. Ndiye Mungu mwenye hekima peke yake, utukufu una yeye kw Yesu Kristo, milele na milele. Amina.

1 Timotheo 1:17. Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake,na iwe heshima na utukufu milele na milele.Amina.


2 Mambo ya Nyakati 16:9. Kwa maana macho ya BWANA hukimbia-kimbia duniani mwote, ili ajionyeshe mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita .

Ayubu 28:24. Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.

Ayubu 34:21. Kwani macho yake ya juu ya njia za mtu, Naye huiona miendo yake yote.

Zaburi 33:13-14. Nawe kwani kumnung'unikia, Kwa vile asivyotoa hesabu ya mambo yake yote? Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.

Zaburi 44:21. Je! Mungu hatalichunguza neno hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.

Zaburi 94:9. Aiyelitia sikio mahali pake asisikie? Aliyelitia jicho asione?

Zaburi 139:7-12. Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako? Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu, Weweuko. Ningezitwaa mbawa zasubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari; Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kuume utanishika. Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku; Giza nalo halikufichi kitu, Bali usikua huangaza kama mchana; Giza na mwanga kwako ni sawa sawa.

Mithali 15:3. Macho ya BWANA yako kila mahali, Yakimchunguza mbaya na mwema.


Yeremia 23:24. Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri nisimwone? Nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.

Yeremia 32:19. Mkuu wa mashauri; mweza katika kutenda; ambaye macho yake yamefumbuka juu ya njia zote za wanadamu,kumpa kila mtu kwa kadiri ya njia zake,na kwa kadiri ya matunda ya matendo yake.


(14)

Yohana 17:9. Mimi nawaombea hao, siuonbei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako

Waebrania 10:26. Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli; haibaki tena dhabihu baadaya ile dhambi.

1 Yohana 2:1. Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwambamsitende dhambi. Na kama mty akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki.

Mithali 28:13. Afichaye dhmbi zake hafanikiwi, Bali yeye aziungamayena kuziacha atapata rehema.

Matendo ya Mitume 1:8. Lakini mtapokea nguvu, akisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyimtakuwamashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.

Mathayo 28:19-20. Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, mkiwafundisha mkiwabatiza kwa jinala la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru nini; tazam, mimi nipo pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahari.

Luka 24:46-48. Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba naondoleo la dhambi kuanzia tangu Yerusalemu. Nnyi ndinyi mashahidi wa mambo haya.

Matendo ya Mitume 26:16-18 Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo hayo uliyoyaona, na mambo mbayo katika hayo nitajidhihirisha kwako, nikikuokoa n watu wako na watu wa mataifa, ambao nakutuma kwao; uwafumbha macho yao na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwendea Mungu, kisha wapate msamaha wa dhambi zao, naurithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

Matendo ya Mitume 4:12. Kwa maana jina jingine chin yaa mbingu walilopewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo.

Matendo ya Mitume 13:48 Mataifa waliposikia haya wakafurahi, wkalitukuza neno la Bwana, nao waliokuwa wamekusudiwa kwa ajili ya uzima wa milele wakaamini.

Matendo ya Mitume 16:31. Wakamwambia mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka wewe pamoja na nyumba yako.

Marko 16:16. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Warumi 1:6 Ambao katika hao ninyi mmekuwa wateule wa Yesu Kristo.

Matendo ya Mitume 2:38 Petro akawaambia tubuni na mkatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu,nanyi mtapata kipawa hiki cha Roho Mtakatifu.



(35)

1 Wakorintho 15:4. Na ya kuwa alizikwa;na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maandiko.

Matendo ya Mitume 10:40 Huyo Mungu alimfufuasiku ya tatu, akamjalia kudhihirika

Matendo ya Mitume 13:30-37 Lakini Mungu akamfufua katika wafu; akaonekana siku nyingi na wale waliopanda naye kutoka Galilaya hata Yerusalemu, ambao sasa ndiyo walio mashahidi wake mbele ya watu.Na sisi tunawahubiri habari njema ya ahadi ile waliyopewa mababa, ya kwamba Mungu amewatimizia watoto wetu ahadi hiyo ya kumfufua Yesu; kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili; Wewe ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa. Tena yakuwa alimfufua katika wafu, asipate kurudia uharibifu, amenena hivi, Nitawapa mambo matakatifu ya Daudi yaliyo amini. Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu wako kuona uharibifu wako kuona uharibifu. Kwa maana Daudi, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alila, akawekwa pamoja na wazazi wake, akaona uharibifu. Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.

Matendo ya Mitume 2:24-27. Ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashike nao.Maana Daudi ataja habari zake.Nalimwona Bwana mbele yangu siku zote. Kwa kua yuko upande wa mkono wangu wa kuume, nisitikisike. Kwa hiyo moyo wangu ukapendezwa, ulimi wangu ukafurahi; Tena mwili wangu nao utakaa katika hali ya matumaini. Kwa maanahutaiacha roho katika kuzimu;

Matendo ya Mitume 4:27. Maana ni kweli Herodi pamoja na Pontio Pilato na pamoja na Mtaifa na watu wa Israeli walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta.

Luka 24:51. Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; achukuliwa juu mbinguni

Waefeso 1:20. Aliotenda Katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka katika mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho

Matendo ya Mitume 5:31. Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awpe Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.

1 Timotheo 2:5. Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja,Mwanadamu Kristo Yesu.

Waebrania 8:1. Basi, katika hayo tunayosema, neno lililo kuu ndilo hili: Tunaye kuhani mkuu wa namna hii; aliyeketi mkono wa kuume a kiti cha enzi cha ukuu mbinguni

Matendo ya Mitume 15:14. Simeoni ametueleza jinsi Mungu hapa kwanza alivyowaangalia ili achague watu katika hao kwa ajili ya jina lake.

Matendo ya Mitume 13:39. Na kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa haki kwa torati ya Musa

Waebrania 4:14-15. Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana a Mungu, tuyashike sana maungamo yetu. Kwa kuwa hatunakuhani mkuu asiyeweza kuchukua nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.

(34)

Amosi 9:2-3. Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawatelemsha toka huko.Nao wajapoficha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta na kuwatoa toka huko; na wajapositirika katika vilindi vya bahari nisiwaone, nitamwagiza joka huko, naye atawauma.

Matendo ya Mitume 17:27-28. Ili wamtafute Mungu, ingawa ni kwa kupapasa-pasa, wakamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila mmoja wetu. Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, maana sisi sote tu wazao wake.

Zaburi 123:1. Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.

1 Wafalme 8:30-39 Uisikie dua ya mtumwa wako, na ya watu wako Israeli, watakapoomba wakikabili mahali hapa, naam, sikia huko mbinguni, makao yako; nawe usikiapo, samehe. Ikiwa mtu amemkosa mwenzake, na kupewa sharti ya kiapo aapishwe, naye akija na kuapa hapa mbele ya madhabahu yako, katika nyumba hii; basi, usikie huko mbinguni, ukawaachilie watu wako Israeli dhambi yao, ukawarejeze tena katika nchi uliyowapa baba zao. Ikiwa mbingu zimefungwa, hata hakuna mvua, kwa sababu wamekukosa wewe; kama wakiomba wakikabili mahali hapa, na kulikiri jina lako na kuiacha dhambi yao, wakati ule utakapowatesa; basi, usikie huko mbinguni, ukaisamehe dhambi ya watumwa wako, na ya watu wako Israeli; unapowafundisha njia iliyo njema, iwapasayo kuiendea; ukanyeshe mvua juu ya nchi yako, uliyowapa watu wako iwe urithi wao. Ikiwa nchi imeingia njaa, au tauni au ukosefu wa mvua, au ukungu, au nzige, au panzi; ikiwa adui wamewahusuru katika nchi ya miji yao; au ukiwapo msiba wowote, au uele wo wote; maombi yo yote, au dua yo yote ikifanywa na mtu awaye yote, au na watu wako Israeli wote pamoja, watakaojua kila mtu maradhi ya moyo wake, na kuikunjua mikono yake, kuielekea nyumba hii; basi, usikie huko mbinguni, makao yako, uka samehe, ukatende, ukampe kila mtu kwa kadiri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake;(maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote)

1 Wafalme 8:43. Basi, usikie huko mbinguni,makao yako, ukatende kwa kadiri ya yote atakayokuomba mgeni huyo; ili watu wote wa dunia wapate kulijua jina lako, na kukucha wewe kama watu wako Israeli, nao wajue ya kuwa nyumba hii, niliyo ijenga, imeitwa kwa jina lako .


1 Wafalme 8:49. Basi, uyasikie maombi yao na dua, huko mbinguni, makao yako, ukaitetee haki yao

Mathayo 6:9. Basi ninyi salini hivi: Baba yetu wa mbinguni, Jina lako litukuzwe.

1 Timotheo 6:15-16. Ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye umwona.Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina

1 Timotheo 1:17. Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. .


(15)

Mathayo 1:23. Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa Mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani Mungu pamoja nasi.

1 Timotheo 3:16. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.

Mitume ya Mitume 2:22-24. Enyi wanaume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua; mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua; ambaye Mungu alimfufua, kiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Matendo ya Mitume 2:36. Basi nyumba yote ya Israeli na wajue yakini ya kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo mliyemsulubisha kuwa Bwana na Kristo.

Mathayo 1:18-25. Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi.Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokua mtu wa haki, aliazimu kumwacha kwa siri. Basi, alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa BWANA alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye atazaa mwana, nawe, utamwita jina lake. Yesu, maana, yeye ndiye atakyewaokoa watu wake na dhambi zao. Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na BWANA kwa ujumbe wa nabii akisema, Tazama, bikira atachukuamimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa BWANA alivyomwagiza; akamchukua mkewe; asimjue kamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake Yesu.

Wagalatia 4:4. Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria.


Isaya 7:14. Kwa hiyo BWANA mwenyewe ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli.

Mathayo 3:16-17. Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho Mungu akishuka kama hua, akija juu yake; na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu mpendwa ninayependezwa naye.

Isaya 11:2 Na roho ya BWANA atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na kumcha BWANA.

Isaya 42:1. Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu, mbaye nafsi yangu imependezwa naye;nimetia roho yangu juu yake;naye atawatolea mataifa hukumu.





(16)

Waebrania 7:27. Ambaye hana haja kila siku, mfano wa wale makuhani wakuu wengine, kwanza kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe,kisha kwa ajili ya dhambi za hao watu;maana yeye alifanya ivi mara moja,alipojitoa nafsi yake.

Waebrania 9:26-28 Kama ni hivyo, ingalimpasa kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dhambi kwa dhabihu ya nafsi yake.Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja,na baada ya kufa hukumu;kadhalik Kristo naye,akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi;atatokea mara ya pili,pasipo dhambi,kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.

Wagalatia 1:4 Ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili ya dhambi zetu, ili atuokoe na dunia hii mbovu iliyopo sasa, kama alivyopenda Mungu, Baba yetu.

Warumi 3:25. Ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake,ili aonyeshe haki yake,kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu,dhambi zote zilizotangulia kufanywa.

Warumi 15:8. Kwa maana nasema, ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiliwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi walizopewa baba zetu.

Wagalatia 3:21-22 Basi je! torati haipatana na ahadi za Mungu?Hasha!kwa kuwa kama ingalitolewa sheria iwezayo kuhuisha,yakini haki ingalipatikana kwa sheria. Lakini andiko limeyafunga yote chini ya nguvu ya dhambi, makusudi hao waaminio wapewe ile ahadi kwa imani ya Yesu Kristo.

Wagalatia 2:21. Siibatili neema ya Mungu; maana, ikiwa haki huptikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure.

Wagalatia 4:4-5. Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezajiwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria,ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana.

Waebrania 9:15 Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya,ili,mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza,hao walioitwa waipokee ahadi ya uzima wa milele.

Luka 22:20. Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwaagika kwa ajili yenu.

Luka24:26. Je! haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake?

Luka 24:46-47. Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba matifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanzia tangu Yerusalemu.

Mathayo 26:28. Kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


(33)

Matendo ya Mitume13:26-29. Ndugu zangu, wana wa ukoo wa Ibrahimu, na hao miongoni mwenu wanao mcha Mungu, kwetu sisi neno la wokovu limepelkwa. Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye wla maneno yamanabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu. Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.Hata walipokwisha kumaliza yote aliyoandikiwa, wakamtelesha katika ule mti, wakamweka kaburini.


Matendo ya Mitume 4:27-28. Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na wakuu wa Israeli,walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta, ili wafanye yote ambayo mkono wako na mashauri yako yamekusudia tangu zamani yatokee.


Warumi 8:3. Maana yale yasiyowezekana kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa dhaifu kwa sababu ya mwili,Mungu, kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi,aliihukumu dhambi katika mwili


Waebrania 10:10. Katika mapenzi hayo tumepata utakaso, kwakutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.


Warumi 3:25. Ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake, ili aonyeshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu, dhambi zote zilizotangulia kufanywa.


Matendo ya Mitume13:38. Basi, na ijulikane kwenu, ndugu zangu, ya kuwa kwa huyu mnahubiriwa msamaha wa dhambi.


1 Yohana1:7. Bali tukienenda nuruni,kama yeye alivyo katika nuru,twashirikiana sisi kwa sisi,na damu yake Yesu,Mwana wake,yatusafisha dhambi yote


Yohana 14:6. Yesu akamwambia, Mimi.ndimi njia,na kweli,na uzima;mtu haji kwa Baba,ila kwa njia ya mimi.


Matendo ya Mitume 4:12. Wala hakuna wokovu katika mwingine awayo yote,kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.


1 Petro 3:18. Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki,ili atulete kwa Mungu;mwili wake akauawa,bali roho yake akahuishwa.


1 Petro 2:24. Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti; ili, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi,tuwe hai kwa mambo ya haki;na kwa kupigwa kwake mliponywa.

Waebrania 9:14. Basi,si zaidi damu yake Kristo,ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa,itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?


(32)

Isaya 61:1. Roho ya BWANA MUNGU;i juu yangu kwa ; kwa sababu BWANA amenitia mafuta,niwahubiri wanyenyekevu habari njema;amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatngazia mateka uhuru wao,na hao waliofunguliwa habari za kufunguliwa kwao

Yohana 3:34. Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Rohokwa kipimo.

Yohana 7:16. Basi Yesu akawajibu, akasema, Mafunzo yangu si yangu mimi, ila ni yake yeye aliyenipeleka.

Yohana 8:26-28. Ninayo mengi ya kusema na kuhukumujuu yenu; lakini yeye aliyenipeleka ni kweli, nami niliyoyasikia kwake ndiyo ninayo katika ulimwengu. Wala hawakutambua kuwa anawatajia Baba. Basi Yesu akawaambia, Mtakapokuwa mmekwisha kumwinua Mwana wa Adamu ndipo mtakapofahamu ya kuwa mimi ndiye;na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu, ila kama Baba alivyonifundisha ndivyo ninenavyo.

Yohana14:10-24. Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yundani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe. Amini, amini, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba lolote kwa jina langu nitalifanya. Mkinipenda, mtazishika amri zangu. Nami nitamwomba Baba, naye atawapa msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu. Bado kitambo kidogo ulimwengu haunioni tena;bali ninyi mnaniona. Na kwa sababu mimi ni hai, nini nanyi mtakuwa hai. Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu. Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye, atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda, nakujidhihirisha kwake. Yuda (siye Iskariote,) akamwambia, Bwana, imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwa ulimwengu? Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki manneno yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake Baba aliyenipeleka.

1 Wakorintho 15:21-22. Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu. Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhlika na katika Kristo wote watahuishwa.

Warumi 5:12-19. Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo hiyo mauti; na hivyo dhambi ikawafikia watu wote kwa kuwa wote wamefanya dhambi; maana kabla ya sheria dhambi ilikuwako ulimwenguni, lakini dhambi haihesabiwi isipokuwapo sheria; walakini mauti ilitawala tangu Adamu mpaka Musa, nayo iliwatawa hata wao wasiofanya dhambi ifananayo na kosa la Adamu, aliye mfano wake yeye atakaye kuja.

(17)

Lakini karama hii haikuwa kama lile kosa;kwa maana ikiwa kwa kukosa kwake yule mmoja wengi walikufa,aidi sana neema ya Mungu,na kipawa kilicho katika neema yake mwanadamu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.Wala kadiri ya yule mtu mmoja aliyefanya dhambi si kadiri ya kile kipawa;kwa maana hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja ikaleta adhabu;bali karama ya neema ilikuja kwa ajili ya makosa mengi,ikaleta kuhesabiwa haki.Kwa maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja,zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema,na kile kipawa cha haki,watatawala katika uzima kwa yule mmoja,Yesu Kristo. Basi tena,kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu,kadhalika kwa tendo moja la haki, watu wote walihesabiwa haki yenye uzima.Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja,watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi,kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki.


Mwanzo 3:19. Kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo uliyotwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.

2 Wakorintho 5:19-21. Yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabi makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. Basi tu wajumbe kwa ajili ya risto, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kua haki ya Mungu katika Yeye.

Mwanzo 2:7. BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Mwanzo18:27. Ibrahimu akajibu, akasema, Basi, nimeshikakusema na BWANA, nami ni avumbi na majivu tu.

Ayubu 4:19. Je si zaidi sana hao wakaao katika nyumba za udongo, Ambazo misingi yao i katika michanga, Hao waiosetwa mbele ya nondo!


Ayubu 33:6. Tazama, mimi nimbele ya Mungu kama ulivyo wewe, Mimi nami nilifinyangwa katika udongo.


1 Wakorintho 15:46-49. Lakini hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili; baadaye huja ule wa roho. Mtu wa kwanza atoka katika nchi, ni wa udongo.Mtu wa pili atoka binguni. Kama alivyo yeye wa udongo, ndivyo walivyo walio wa udongo; na kama alivyo yeye wa mbinguni, ndivyo walivyo walio wa mbinguni. Na kama tulivyoichukua sura yake yule wa udongo, kadhalika tutaichukua sura yake yeye aliye wa mbinguni.

Mwanzo 2:17. Walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matundaya mti huo utakufa hakika.


Mwanzo 3:15-19. Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako,ukala matunda ya mti

(18)

kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii. Wakajibu,kwamba, Hatujui ulikotoka. Yesu akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya. Akaanza kuwaambia watu mfano huu; Mtu mmoja alipanda shamba Ia mizabibu; akapangisha wakulima, akaenda kukaa katika nchi nyingine muda mrefu. Na wakati wa mavuno alituma mtimwa wa wale wakulima ili wampe baadhi ya matunda ya mizabibu; wakulima hawakumpatia, wakamfukuza mikono mitupu. Akatuma na mtumwa mwingine. Wakampiga huyu naye wakamwaibisha wakamfukuza mikono mitupu. Akmtuma na wa tatu; huyu nye wakamtia jereha, wakamtupa nje. Basi, bwana wa shamba la mizabibu alisema, Nifanyaje? Nitamtuma mwanangu, mpendwa wangu; yamkini watamheshimu yeye. Lakini, wale wakulima walipomwona, walishauriana wao kwa wao, wakisema, Huyu ndiye mrithi, haya, na tumwue, ili urithi uwe wetu. Wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua. Basi, bwana wa shamba la mizabibu atawatendeje? Atakuja na kuwaangamiza wakulima wale, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine. Waliposikia haya, Hasha/ yasitukiehaya/Akawazia macho akasema, Maana yake nini basi neno hili lililoandikwa, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni? Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hiloatvunjika-vunjika; yeyote ambaye litamwangukia litamsaga kabisa. Nao waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta kumkamata saa iyo hiyo, wakawaogopa watu, maana walitambua ya kwamba mfano huu amewanenea wao. Wakamvizia-vizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya liwali. Wakamwuliza wakisema, Mwalimu, twajua yakuwa wasema na kufundisha yaliyo ya haki, wala hujali cheo cha mtu, bali unafundisha njia ya Mungu kwa kweli.Je! ni halali tumlipe Kaisari kodi, au sivyo? Lakini yeye alitambua hila yao, akawaambia, Nionyesheni dinari. Ina sura na anwani ya nani? Wakamjibu, Ya Kaisari. Akawaambia, Basi, vya Kaisari mpeni Kaisari, na vya Mungu mpeni Mungu. Wala hawakuweza kumshitaki kwa maneno yao mbele ya watu; wakastaajabia majibu yake, wakanyamaa.


Yohana 11:45-53. Basi wengi katika Wayahudi waliokuja wa Mariamu, na kuyaona yale aliyoyafanya, wakamwamini. Lakini wengine wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia sliyoyafanya Yesu. Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakakusanya baraza, wakasema, Tufanye nini? Maana mtu huyu anafanya ishara nyingi. Tukimwach hivi, watu wote watamwamini; na Warumi watakuja, watatuondolea mahali petu na taifa letu. Mtu mmoja miongoni mwao, Kayafa aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule, akawaambia, Ninyi hamjui neno lolote; wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, wala lisiangamie taifa zima.Na neno hilo yeye hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa alikuwa Kuhani Mkuu ule, alitabiri ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa hilo. Wala si kwa ajili ya taifa hilo tu; lakini pamoja na hayo awakusanye watotowa Mungu waliotawanyika, ili wawe wamoja. Basi tangu siku ile walifanya shauri la kumwua.

Matendo ya Mitume 10:38-39. Habari za Yesu wa Nazareti,jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu;naye akazunguka huko na huko, akitnda kazi njema na wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye. Nasi tu mashahidi wa mambo yote aliyoyatenda katika nchi ya Wayahudi na katika Yerusalemu; ambaye walimwua wakamtundika mtini.

(31)

Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.Nao watakuja watu toka mashariki na magharibi, na toka kaskazini n kusini nao wataketi chakulani katika ufalme wa Mungu. Na tazama, wako walio wa mwisho watakuwa wa kwanza,na wa kwanza watakuwa wa mwisho

Luka 19:11-27. Waliposikia hayo, aliongeza kusema mfano,kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani kuwa ufalme wa Mungu utaonekana mara.Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisafiri nchi ya mbali, ili ajipatie ufalme na kurudi. Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja. Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.Ikawa aliporudi,ameupata ufalme wake,aliamuru waitwe wale watumwa aliowapa fedha,ili ajue faida aliyopata kila mtu kwa biashra yake. Akaja wa kwanza, akasema,Bwana fungu lako limeleta faida ya mafungu kumi zaidi. Akamwambia,Vema,,mtumwa mwema;kwa vile ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo,uwe na mamlaka juu ya miji kumi.Akaja wa pili,akasema,Bwana fungu lako limeleta faida ya mafungu matano faida.Akamwambia huyu naye,Wewe uwe juu ya miji mitano.Akaja mwingine akasema, Bwana hili ndilo fungu lako,ambalo nililiweka akiba katika leso.Kwa maana nalikuogopa kwa kuwa u mtu mgumu;waondoa usichoweka,wavuna usicho panda. Akamwambia,Nitakuhukumu kwa kinya chako,mtumws mwovu wewe.Ulinijua kuwa ni mtu mgumu,niondoaye nisichoweka,basi,mbona hukuiweka fedha yangu kwa watu watoao riba,ili nijapo niipate pamoja na faida yake? Akawaambia waliosimama karibu, Mnyang'anyeni hilo fungu, mkampe yule mwenye mafungu kumi.Wakamwambia, Bwana, anayo mafungu kumi. Na waambia,Kila aliye na kitu atapewa,ali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.Tena,wale adui zangu,wasiotaka niwatale,waleteni hapa mwachinje mbele yangu.

Luke 22:28-30. Nanyi ndinyi mliodumu pamoja nami katika majaribu yangu. Nami nawawekea ninyi ufalme, kama vile Baba yangu alivyoniwekea mimi, mpate kula na kunywa pangu katika ufalme wangu; na kuketi katika viti vya enzi, huku mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.


Mathayo 5:17. Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.


Luke 24:44. Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimize yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika manabii, na Zaburi.


Luka 9:47. Naye Yesu alipotambua mawazo ya mioyo yao, alitwaa mtoto mdogo akamweka karibu naye.

Luka 20:1-26. Ikawa siku moja,alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni, na kuihubiri habari njema, wakuu wa makuhani na waandishi pamoja na wazee walimtokea ghafla; wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? tena, ni nani aliyekupa mamlaka hii? Akajibu akaaambia, Nami nitawauliza ninyi nenomoja; niambieni, Ubatizo wa Yohana,je! ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema ulitoka mbinguni, atasema, Basi, mbona hamkumwamini? Na tukisema ulitoka kwa wanadamu watu wote watatupiga kwa mawe,

(30)

ambao nilikuagiza,nikisema,Usiyale;ardhi imelaaniwa kwa ajili yako;kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;michongoma na miiba itakuzalia,nawe utakula mboga za kondeni;kwa jasho la uso wako utakula chakula,hata utakapoirudia ardhi,ambayo katika hiyouliyotwaliwa;kwa maana u mavumbi wewe,nawe mavumbini utarudi.

Mwanzo 22:1-24. Ikiwa baada ya mambo hayo Mungu alimjaribu Ibrahimu, akamwambia, Ee Ibrahimu! Naye akasema, Mimi hapa. Akasema, umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia. Ibrahimu akaondoka alfajiri, akatandika punda wake, akachukua vijana wawili pamoja naye, na Isaka mwanawe, akachanja kuni kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa, akaondoka, akaenda mpaka mahali alipoambiwa na Mungu. Siku ya tatu Ibrahimu akainua -macho yake, akapaona mahali pakali mbali. Ibrahimu akawaambia vijana wake, Kaeni ninyi hapa pamoja na punda, na mimi na kijana tutakwenda kule, tukaabudu, na kuwarudia tena. Basi Ibrahimu akazitwaa kuni za hiyo sadaka, akamtwika Isaka mwanwe; akatwaa moto na kisu mkononi mwake, wakaenda wote wawili pamoja. Isaka akasema na Ibrahimu baba yake, akinena, Babaangu! naye akasema, Mimi hapa, mwanangu.Akasema!moto upo,na kuni zipo, lakini yuko wapi mwana-kondoo kwa sadaka ya kuteketezwa? Ibrahimu akasema, Mungu atajipatia mwana-kondoo kwa hiyo sadaka, mwanangu. Basi wakaendelea wote wawili pamoja. Wakafika mahali pale alipoambiwa na Mungu, Ibrahimu akajenga madhabahu huko, akaziweka tayari kuni, kisha akamfunga Isaka mwanawe, akamweka juu ya madhabahu, juu ya zile kuni. Ibrahimu akanyosha mkono wake, akakitwaa kisu ili amchinje mwanawe. Ndipo malaika wa BWANA akamwita kutoka mbinguni, akasema, Ibrahimu, Ibrahimu! Naye akasema, Mimi hapa. Akasema, Usimnyoshee kijana mkono wako, wala usimtendee neno; kwa maana sasa ninajua ya kuwa unamcha Mungu, iwapo hukunizuilia Mwanao, mwanao wa pekee. Ibrahimu akainua macho yake, akaangalia, na tazama, kondoo mume yuko nyuma yake, amenaswa pembe zake katika kichaka. Basi Ibrahimu akaenda akamtwaa huyo kondoo, akamtoa awe sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe. Ibrahimu akapaita mahali hapo Yehova-yire,* kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana. Malaika wa BWANA akamwita Ibrahimu mara ya pili kutoka mbinguni, akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwano, mwanao wa pekee, katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; uzao wako utamiliki mlango wa adui zao; na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia; kwa sababu umeitii sauti yangu. Basi Ibrahimu akawarudia vijana wake, wakaondoka, wakaenda zao pamoja mpaka Beer-sheba; Ibrahimu akakaa huko Beer-sheba. Ikawa baada ya mambo hayo,Ibrahimu akaambiwa ya kwamba,Tazama, Milka naye amemzalia Nahori ndugu yako wana; Usi, mzaliwa wa kwanza wake, na Buzi ndugu yake, na Kemueli, baba wa Aramu; na Kesedi, na Hazo, na Pildashi, na Yidlafu, na Bethueli. Bethueli akamzaa Rebeka; hao wanane Milka alimzalia Nahori ndugu wa Ibrahimu. Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.

Mwanzo 23:1-20. Basi umri wake Sara ulikuwa miaka mia moja na ishirinina saba, ndio umri wake Sara. Sara akafa katika Kiriathi-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Ibrahimu akaja kumlilia Sara na kumwombolezea.

(19)

Akaondoka Ibrahimu kutoka mbele ya maiti wake,akasema na Bani Hethi,akinena,Mimi ni mgeni,ninatembea kwenu;nipeni mahali pa kuzikia kwenu,pawe pangu,nimzike maiti wangu atoke mbele yangu. Bani Hethi wakamjibu Ibrahimu, wakamambia, Utusikie, Ee bana,ndiwe mtu mkuu sana kwetu, uzike maiti wako ktika kaburi lile utakalo chagua katika makaburi yetu.Hapan mtu kwetu atakayekuzuilia kaburi lake,usizike maiti wako. Ibrahimu akaondoka, akainama mbele ya watu wa nchi, mbele ya hao Bani Hethi. Naye akazungumza nao, akisema, Ikiwa nia yenu nimzike maiti wangu atoke mbele yangu,mnisikie,mkaniombee kwa Efroni bin Sohari,ili kwamba anipe pango ya Makpela,iliyo katika mpaka wa shamba lake, na anipe kwa kima kilicho kamili,katikati yenu,iwe milki yangu yakuzikia. Basi Efroni alikuwa akiketi katii ya Bani Hethi.Efroni Mhiti akamjibu Ibrahimu,na Bani Hethi wanasikiliza,hata watu wote waingio mlango wa mji wake, akisema, Sivyo, ndugu bwana wangu, unisikilize. Lile shamba, nakupa, na pango iliyomo nakupa; mbele ya wana wa watu wangu nakupa, uzike maiti wako. Ibrahimu akainama mbele ya watu wa nchi. Akamwambia Efroni, na watu wa nchi wanasikiliza, akisema, Tafadhali unisikilize; nitatoa kima cha shamba, nawe ukipokee kwangu, nami nitamzika humo maiti wangu. Efroni akamjibu Ibrahimu, akamwambia, Bwana wangu, unisikilize.Sehemu ya nchi, ambayo thamani yake ni shekeli za fedha mia nne, ni nini hii baina yako na yangu? Basi uzike maiti wako. Ibrahimu akakubali maneno ya Efroni.Ibrahimu akampimia Efroni ile fedha aliyoitaja masikioni mwa Bani Hethi, shekeli za fedha mia nne za namna inayotumika na wenye biashara. Basi shamba la Efroni-lililokuwa katika Makpela kuelekea Mamre,shamba,na pangoiliyokuwamo,na miti yote iliyokuwamo shambani; iliyokuwa katika mipaka yake pande zote, vyote viliyakinishwa kuwa mali yake Ibrahimu, mbele ya Bani Hethi, mbele ya watu wote waingiao katika mlango wa mji wake. Basi baada ya hayo Ibrahimu akamzika Sara mkewe katika pango ya shamba la Makpela kuelekea Mamre, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani.Na lile shamba, na pango iliyomo, iliyakinishwa kuwa mali yake Ibrahimu na Bani Hethi, kuwa mahali pa kuzikia.

2 Wakorintho 1:9. Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu; ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumainie Mungu,awafufuaye wafu.

Warumi 7:24. Ole wangu, maskini mimi!ni nani atakaniokoa na mwili huu wa mauti?

2 Wakorintho 5:2-4 Maana katika nyumba hii twaugua, tukitamani sana kuvikwa kao letu litokalo mbinguni; ikiwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tu uchi.Kwa sababu sisi tulio katika maskani hii twaugu,tukilemewa;si kwamba twataka kuvuliwa bali kuvikwa ili kitu kile kipatikanacho na mauti kimezwe na mauti.

Warumi7:18-23 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema;kwa kuwa kutaka nataka,bali kutenda lililo jema sipati.Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo,si mimi nafsi yangu nilitendaye,bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.Basi nimeona sheria hii,ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema,lipo lililo baya.Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani;lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali,inapiga vita na ile sheria ya akili zangu,na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.




(20)

wakamtea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampiga-piga kichwani. Walipokwisha kumdhihaki wakalivua lile vazi, wakamvika mavazi yake, wakamchua kumsulubisha. Hata walipokuwa wakitoka, wakamwona mtu Mkirene,jina lake Simoni; huyu wakamshurutisha auchukue msalaba wake. Na walipofika mahali paitwapo Golgotha, yaani, Fuvu la kichwa, wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo;lakini yeye alipoionja hakutakakuinywa. Walipokwisha kumsulubisha, waligawa mavazi yake, wakipiga kura; (ili litimie neno lililonenwa na nabii, Waligawa nguo zangu kati yao, na juu y vazi langu walipiga kura.) Wakaketi, wakamlinda huko. Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI. Wakati uo huo wanyang'anyi wawili wakasulubiwa pamoja pamoja naye, mmoja mkono wake wa kuume, na mmoja mkono wake wa kushoto. Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa vichwa vyao, wakisema. Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu,jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, shuka msalabani. Kadhalika na wale wakuu wa makuhani pamoja na waandishi na wazee, wakisema, Aliokoa wengine, hawezi kujiokoa mwenyewe.Yeyeni mfalme wa Israeli na ashuke sasa msalabani, nasi tutamwamini. Amtegeaye Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu. (Pia wale wanyang'anyi waliosulubiwa pamoja naye walimshutumu vilevile. Basi tangu saa sita palikuwa na giiza juu ya nchi yote hata saa tisa.Na kama saa tisa,Yesu akapaza sauti yakekwa nguvu akisema,Eloi, Eloi lama sabakthani? Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Na baadhi ya waliohudhuria, waliposikia, walisema, Huyu anamita Eliya. Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha. Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa)

Yohana10:24-25. Basi Wayahudi walimzunguka, wakamwambia, Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama wewe ndiwe Kristo, utuambie waziwazi.Yesu akawajibu, Naliwaambia, lakini ninyi kumsadiki. Kazi hizi ninazozifanya kwa jina la Baba yangu ndizo zinazonishuhudia.


Mathayo 19:28. Yesu akawaambia, Amina nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyinanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.

Mathayo 21:42-43. Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe la pembeni; Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu? Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Mathayo 23:38-39. Angalieni, nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa. Kwa maana nawaambia, Hamtaniona kamwe tangu sasa, hata mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwa jina la BWANA

Luka 4:43. Akawaambia, Imenipasa kuihubiri habari njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia; maana kwa sabbu hiyo nalitumwa.


Luka 13:27-30. Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako, ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu. Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa

(29)

Mmesikia kwamba imenenwa,umpende jirani yako, na, umchukie adui yako; lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru ,je! Nao hawafanyi yayo hayo? Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa,je / Nao hawafanyi kama hayo? Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wambinguni alivyomkamilifu.

Yohana 10:36. Je! yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnaniambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana Mungu?

Yohana 9:35. Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana Mungu?

Yohana.11:27. Akamwambia, Naam, Bwana, mimi nimesadiki ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni.

Yohana 19:21. Basi wakui wa makuhani na Wayahudi wakamwambia Pilato, Usiandike, Mfalme wa Wayahudi; bali ya kwamba yule alisema, Mimi ni mfalme wa Wayahudi.

Yohana 1:49. Nathanaeli akamjibu, Rabi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe Mfalme wa Israeli.

Mathayo 27:11-43. Naye Yesu akasimama mbele ya liwali; liwali, akamwuliza, akasema, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Yesu akamwambia, Wewe wasema. Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno. Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayokushuhudia? Asimjibu hata neno moja, hata liwali akastaajabu sana. Basi wakati wa sikukuu, liwali kwa desturi yake huwafungulia mkutano mfungwa mmoja waliyemtaka. Basi palikuwa na mfungwa mashuhuri siku zile,aitwaye Baraba. Basi walipokutanika, Pilato akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi? Yule Baraba, au Yesu aitwaye Kristo? Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa husuda. Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake. Nao wakuu wa makuhani na wazee wakawashawishi makutano ili wamtake Baraba,na kumwangamiza Yesu.Basi liwali akajibu, akawaambia, Mnataka niwafungulie yupi katika hawa wawili? Wakasema Baraba. Pilato akawaambia, Basi, nimtendeje Yesu aitwaye Kristo? Wakasema wote, Asulubiwe. Akasema, kwa nini? Ni ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, wakisema, Na asulubiwe. Basi Pilato alipoona ya kuwa hafai lolote, bali ghasia inazidi tu, akatwaa maji, akanawa maji mbele ya mkutano, akasema, Mimi sina hatia katika damu ya mtu huyu mwenye haki; yaangalieni haya ninyi wenyewe. Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.Ndipo akawafungulia Baraba; na baada ya kumpiga Yesu mijeredi, akamtoa ili asulubiwe. Ndipo askari wa liwali wakamchukua Yesu ndani ya Praitorio (nyumba ya uliwali) wakamkusanyikia kikosi kizima. Wakamvua nguo, wakamvika vazi jekundu. Wakasokota taji ya miiba, wakaiweka juu ya kichwa chake, na mwanzi katika mkono wake wa kuume;wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki, wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi/Kisha

(28)

Wagalatia 5:16-17. Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili. Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana namwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.


Warumi 6:12. Basi dhambi isitawale ndaniya miili yenu ipatikanayo na mauti,hata mkazitii tamaa zake,


Romans 7:21. Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya


Yohana 3:6. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili;na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


Warumi 5:12. Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wametenda dhambi.

1 Wakorintho 15:22. Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa

Zaburi 51:5. Tazama, mimi nalimbwa katika hali ya uovu; Mama yangu alinichukua mimba hatiani.

Ayubu14:4. Ni nani awezaye kutoa kitu kilicho safi kitoke katika kitu kichafu? hapana awezaye.

Ufunuo 21:4 Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.


Yohana 3:16: Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele

2 Timotheo 1:10. Na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Injili.

1 Yohana 2:25 Na hii ndiyo ahadi aliyotuahidia, yaani uzima wa milele.

2 Timotheo 1:1 Paulo, mtume wa Kristo, kwa mapenzi ya Mungu; kwa ajili ya ahadi ya uzima ulio katika Kristo Yesu,


Tito 1:2. Katika tumaini la uzima wa milele, ambalo Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Warumi 3:26. Apate kuonyesha haki yake wakati huu, ili awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yeye amwaminiye Yesu


Yohana 1:29. Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama Mwanakondokoo wa Mungu, aichukuaye dhmbi ya ulimwengu!


(21)

Mwanzo 3:15. Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa na wewe utamponda kisigino;

Mwanzo 22:18. Na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia; kwa sababu umeitii sauti yangu.

Zaburi 89:34-37. Mimi sitariharifu agano langu, sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.Neno moja nimeapa kwa utakatifu wangu, Hakika sitamwambia Daudi uongo, wazao wake watadumu milele, Na kiti chake kitakuwa kama jua mbele zangu milele. Kitathibitika milele kama mwezi; shahidi aliye mbinguni mwaminifu.


Zaburi 33:5. Huzipenda haki na hukumu, nchi imejaa hukumu.

Hosea 13:14. Nitawakomboa na nguvu za kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yakokiulizo ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwakokiulizokujuta kutafichwa na macho yangu.

Isaya 25:7-9. Naye katika mlima huu atauharibu uso wa sitara iliyowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote.memeza mauti hata milele; na BWANA MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote, maana BWANA amenena hayo. Katika siku hiyo ndiye Mungu wetu, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.

Isaya 51:1-8. Nisikilizeni, mnaoitafuta haki; ninyi mnaomtafuta BWANA; uangalieni mwmba ule ambamo mlitolewa kwa kuchongwa,na tundu la shimo ambalo mlitolewa na kuchimbuliwa.Mwangalieni Ibrahimu, baba yenu, na Sara, aliyewazaa; kwa maana alipokuwa mmoja tu nalimwita, nikambariki, nikamfanya kuwa wengi. Maana BWANA ataufariji Sayuni; amepafariji mahali pake palipokuwa ukiwa; amefanya jangwa lake kama bustani ya Edeni, na nyika yake kama bustani ya BWANA; furaha na kicheko zitaonekana ndani yake, kushukuru, na sauti ya kuimba. Nisikilizeni mimi, enyi watu wangu; nisikieni, taifa langu; maana sheria itatoka kwangu, nami nitaistarehesha hukumu yangu iwe nuru ya mataifa. Haki yangu i karibu,wokovu wangu umekuwa wazi,na mikono yangu itawahukumu kabila za watu;visiwa vitaningoja,navyo vitautumania mkono wangu.Inuenimacho yenu mbinguni,mkaitazame nchi chini;maana mbingu zitatoweka kama moshi, na nchi itachakaa kama vazi, nao wakaao ndani yake watakufa kadhalika;bali wokovu wangu utakuwa wa milele,na haki yangu haitaanguka. Nisikilizeni,ninyi mjuao haki,watu ambao mioyoni mwenu mna sheria yangu;msiogope matukano ya watu,wala msifadhaike kwa sababu ya dhihaka zao.Maana nondo itawala kama vazi,na funza atawala kama sufu;bali haki yangu itakuwa ya milele,na wokovu wangu hata vizazi vyote.

Yeremia 23:5. Akasema, Rudini sasa, kila mtu na aiache njia yake mbaya; uacheni uovu wa matendo yenu, mkae katika katika nchi ambayo BWANA aliwapa,ninyi na baba zenu,tangu zamani za kale na hata milele.


1 Wakorintho 15:45 Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa nafsi iliyo hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.



(22)

Waebrania 2:14. Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amhribu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti yaani, Ibilisi.

Wagalatia 4:4. Hata ulipowadia utimilifu wa wakati; Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,

Waebrania 2:17. Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.

Marko 1:15. Yesu akasema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.

Mathayo 4:17. Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri, akasema, Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.

Mathayo 5:20-48. Maana nawaambia ya kwamba,Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu. Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu;na mtu akimfyolea ndugu yake itampasa baraza;na mtu akimwapiza itampasa jehanamu ya moto.Basi ukileta sadaka yako madhabahuni,na huku ukikumbuka ya kuwa ndugu yako ana neno juu yako,iache sadaka yako mbele ya madhabahu,uende zako, upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe sadaka yako. Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani Amini, nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho. Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.Jicho lako la kuume likikukosesha,ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanamu. Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanamu.Imenenwa pia,mtu akimwacha mkewe,na ampe hti ya talaka;lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati,amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini. Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie BWANA nyapo zako; lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu;wala kwa nchi,kwa maana ndiyo pa kuwekea miguu yake; wala kwa Yerusalemu, kwa maana ndiyo mji wa Mfalme mkuu. Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwa mweusi au mweupe. Bali maneno yenu yawe ndiyo Ndiyo, ndiyo, Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa kwa yule mwovu. Mmesikia kwamba imenenwa, jicho kwa jicho, jino kwa jino; Lakini mimi nawaambia, Msishindne na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili. Na mtu atakye kukushitaki na kuitwaa joho lako mwachie na joho pia.Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye mbili.Akuombaye, mpe; naye atakaye kukukopa kwako, usimpe kisogo.


(27)

Luka 1:26-35. Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya,jina lake Nazareti,kwa manamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu,jina lake Yusufu,wa mbali ya Daudi;na jina lake bikira huyo ni Mariamu.Akaingia nyumbani kwake akasema,Salamu,uliyepewa neema,Bwana yu pamoja nawe.Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake,akawaza moyoni,Salamu hii ni ya namna gani? Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwna wa Aliye juu, n Bwana Mungu atmpa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. Ataimiliki numba ya Yakobo hata milele,na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hli maana sijui mume? Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.

Isaya 7:14. Kwa hiyo BWANA mwenyeweatawapa ishara.Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwitajina lake Imanueli.

Warumi 1:3-4 Yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili, na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu,Yesu Kristo Bwana wetu.

Warumi 8:3. Maana yale yasiyowzekana kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa dhaifu kwa sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi, na kwa sababu ya dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili,

Wagalatia 4:4. Hata ulipowadia utimilifu wa wakati; Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,

2 Wakorintho 5:21. Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwahaki ya Mungu katika yeye.

Waebrania 2:14-17. Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi, awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.Maana ni hakika hatwai asili ya malaika,ila atwaa asili ya mzao wa Ibrahimu.Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote,apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema,mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wote.

Waebrania 4:15. Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.

Mathayo 1:23. Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.

1 Timotheo 3:16. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.



(26)

Waebrania 2:14-16. Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo,ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti yaani Ibilisi,awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu ya mauti walikuwa katika hali ya utumwa.Maana ni hakika hatwai asili ya malaika,ila atwaa asili ya mzao wa Ibrahimu.


Warumi 1:3. Yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili,


Waebrania 5:8-9. Na, ingawa ni mwana, alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata; naye alpokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii


Waebrania 1:9. Umependa haki, umechukia maasi; Kwa hiyo, Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.

Warumi 5:19-21. Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutii kwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki. Lakini sheria iliingia ili kosa lile liwe kubwa sana;na dhambii ilipozidi,neema ilikuwa nyingi zaidi; ili kwamba,kama dhambi ilivyotawala katika mauti,vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.

Wagalatia 4:4-5 Hata ulipotimia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria,ili sisi tuweze kupokea hali ya kuwa wana.

Warumi 8:3-4. Maana yale yasiyowzekana kwa sheria,kwa vile ilivyokuwa dhaifu kwa sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi,na kwa sababu ya dhambi,aliihukumu dhambi katika mwili, ili maagizo ya torati yatimizwe ndani yetu sisi, tusiofuata kwa kufuata mambo ya mwili, bali mambo ya roho.


Waebrania2:15. Awaache huru wale ambao kwamba maisha yao yote kwa hofu y mauti walikuwa katika hali ya utumwa.


Waebrania 9:26. Kama ni hivyo, ingalimpasa, kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dhambi kwa dhabihu ya mwili wake.

Wagalatia 1:4. Ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili ya dhambi zetu, ili, atuokoe na dunia hii mbovu iliyopo sasa, kama alivyopenda Mungu, Baba yetu

Waebrania 7:27. Ambaye hana haja kila siku, mfano wa wale makuhani wakuu wengine, kwanza kutoa dhabihu kwa ajili yake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za hao watu; maana yeye alianya hivi mara moja, alipojitoa nafsi yake



(23)

Waebrania 5:3-7 Na kwa sababu hiyo imempasa, kama kwa ajili ya watu, vivyo hivyo kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi. Na hapana mtu mwenyewe ajitwaliaye heshima hii, ila yeye aliyeitwa na Mungu,kama vile Haruni.Vivyo hivyo Kristo naye hakujitukuza nafsi yake kufanywa kuhani mkuu,lakini yeye aliyemwambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa. Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele, Kwa mfano wa Melkizedeki. Yeye,katika siku hizo za mwili wake,alimtolea yule,awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti,maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi,akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu.

Waebrania 2:17 Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zakekatika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema,mwaminifu katika mambo ya Mungu,ili afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.


Warumi 6:10. Maana kwa kule kufa kwake,aliifia dhambi mara moja tu;lakini kwa kule kuishi kwake, amwishia Mungu.

Warumi 6:9. Tukijua ya kuwa Kristo, akisha kufufuka katika wafu hafi tena,wala mauti haimtawali tena.

Matendo ya Mitume 13:34-37. Tena yakuwa alimfufua katika wafu, asipate kurudia uharibifu, amenena hivi, Nitawapa mambo matakatifu ya Daudi yaliyo amini. Kwa hiyo anena na pengine, Hutamwachia Mtakatifu wako kuona uharibifu wako kuona uharibifu. Kwa maana Daudi, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala, akawekwa pamoja na wazazi wake,akaona uharibifu.Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.

Ufunuo 1:18. Na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa na ta.zama, ni hai hata milele na milele.Ninazo funguo za mauti,na kuzimu.

Yohana 5:21-22. Maana kama Baba aafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awafufuavyo na kuwahuisha wale awatakao.Tena Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote;

Yohana 5:26-27. Maana kama vile Baba alivyo na uzima nafsini mwake, vivyo hivyo alimpa na Mwana kuwa na uzima nafsini mwake. Naye akampa amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana wa Adamu.

Yohana 14:3. Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo

Ufunuo 2:7. Yeye aliye na sikio, alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

Ufunuo 3:21. Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi na Baba yangu katika kiti chake cha enzi

Mathayo 25:21 Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi, ingia katika furaha ya bwana wako.



(24)

Waebrania 5:9. Naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii.

Marko 16:16. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Matendo ya Mitume 13:38-39. Basi, na ijulikane kwenu,ndugu zangu,ya kuwa kwa hayo mnahubiriwa msamaha wa dhambi; na kwa yeye kila amwaminiye anahesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa kwa torati ya Musa.

Warumi 3:22. Ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio.Maana hakuna tofauti:

Zaburi 2:6-9. Nami nimemweka mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa. Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa ilki yako.Utawaponda kwa fimbo ya chuma, Na kuwavunja kema chombo cha mfinyanzi.

Danieli 7:13-14. Nikaona katika njozi za usiku,na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyu Mzee wa siku,wakamleta karibu naye.Naye akapewa mamlaka, na utukufu,na ufalme,ili watu wa kabila zote,na taifa zote,na lugha zote,wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele,ambryo haitapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.

Ufunuo 11:15. Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu,zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake naye atamiliki hata milele na milele.

Yeremia 23:5. Tazama siku zinakuja, asema BWANA, nitakapomchipushia Daudi chipukizi la haki; naye atamiliki mfalme, atatenda kwa hekima,naye atafanya hukumu na haki katika nchi.

Zekaria 14:9 Naye BWANA atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja.

Waefeso 1:9-10. Akisha kutujulisha siri ya mapenzi yake, sawasawa na urathi wake, alioukusudia katika yeye huyo.

Mathayo 1:18-25. Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye Yusufu, mumewe kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri. Basi, alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu kuwa mkeo, maana mimba aliyonayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana yake, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii akisema, Tazama, bikira atachuku mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi. Naye Yusufu alipoamka katika usingizini, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;asimjue kamwe hata alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake Yesu.

(25)