Orodha ya vizazi kutoka Ibrahimu mpaka taifa la Israeli


Utaratibu wa miaka tangu Ibrahimu mpaka Waisraeli kutoka Misri

(tarehe zake zimehisiwa tu)


1925 k.K

Ibrahimu na Sara wanaingia Kanaani

Umri wa Ibrahimu 76

Mwa 16:3,16

1915

Ishmaeli anazaliwa

Umri wa Ibrahimu 86

Mwa 16:16

1901

Isaka anazaliwa

Umri wa Ibrahimu 100

Mwa 21:5

1841

Yakobo anazaliwa

Umri wa Isaka 60

Mwa 25:26

1826

Ibrahimu anakufa katika umri wa 175


Mwa 25:7

1751

Yusufu anazaliwa

Umri wa Yakobo 90

Mwa 41:46; 45:6; 47:9

1721

Yusufu aingia ktk. Utumishi wa Farao

Umri wake 30

Mwa 41:46

1721

Isaka anakufa katika umri wa 180


Mwa 35:28

1711

Ukoo wa Yakobo unahamia Misri

Umri wa Yusufu 40

Mwa 41:46; 45:6; 47:9



Umri wa Yakobo 130


1694

Yakobo anakufa katika umri wa 147


Mwa 47:28

1641

Yusufu aanakufa katika umri wa 110


Mwa 50:22

1280

Musa anawaongoza Waisraeli kutoka Misri

Umri wa Musa 80

Kut 12:41; Mdo7:23;30